...Mid-aged!, u miss ulishampita. Sasa poda tu kwa wingi, kujifukiza, na khanga za mafumbo! mwanamke wa pwani wala hana kuji 'tune' sana, ushauri wa bure; usiache Gym na aerobics za hapa na pale, kina mama wengi wanajisahau na kupoteza mvuto wakishawekwa ndani!
QUOTE]
k.i.s.s
Wazee Wanavijiji wanaongea hivi?
Kijijiji cha Ubepari, Detroit, a far cry from Gezaulole na Mwanalumango!
not in the D.. you pull out a piece... somebody got two plus the chekeche...
Miaka 3 iliyopita niliwahi kwenda kwenye lile duka la silaha pale Samora (Behind TRA) ili kujionea Silaha zenyewe. Walinipokea vizuri tu na walikua cooperative sana kunionyesha silaha za aina mbalimbali, kunitajia bei zake na hata kunipa nizishike na kuzikagua endapo ningeipenda.
Waliniambia kama kuna niliyoipenda utaratibu ni kwamba ningetakiwa kulipia Full amount (ilikua ina Rage from 700,000 to 1,500,000 depending on features) Lakini huchukui Silaha.
Baada ya hapo wangenipa Fomu 1 in 4 copies, ambayo ningeenda nayo Serikali za Mitaa, Kamati ya usalama ya Mtaa ingekaa na kunijadili na kuziforward hizo Form katika Kamati ya Usalama ya Wilaya ambapo wangezipitia na Kuziforward Katika Kamati ya usalama ya Mkoani na hatimaye mwishoni zingepelekwa Central Police Station.
Kila Stage itakapopitia copy moja ya hizo fomu hubaki huko kwa kumbukumbu. Vilevile walisema the main uzito mkubwa uko katika mapendekezo ya kamati ya usalama ya mtaa na Wilaya, Zikipita stage hiyo Mkoani na taifani hakuna shida kwa sababu hawakufahamu.
Baada ya Fomu kufika Central Policy Station, wao watakuita na kama wameridhika na recommendation za ngazi zote watatoa idhini ya wewe kwenda kuchukua hiyo silaha yako uliyolipia, Pamoja na Kitabu cha Silaha hiyo ambacho kitatumika wakati wa ukaguzi wa Silaha unaofanyika kila mwaka.
Unless wewe ni mwanajeshi au Polisi, Utatakiwa kulipia gharama za mtu kukupeleka Range kwa ajili ya kujifunza kutumia Silaha.
Process nzima kuanzia ulipolipia hadi kukabidhiwa silaha yako inaweza chukua miezi mitatu
Baada ya hapo unakua Mmiliki halali wa Silaha.
kumiliki siraha ni HAKI ya mtu. ukitaka kufahamu kama kuna uchunguzi katika kupewa kibali cha kununua silaha, nenda kaombe! kitu kibaya ni kwamba, haiwezekani kumfahamu mtu kama ni mwema au la.....au atlisti ni ngumu...Hata MAJAMBAZI wengine wanamiliki bunduki kihalali kabisa!!! ww kama unahitaji kujilinda ww na pesa yako tu ya kazi gani uombe kununua machinegun kama mfugaji? bastola kazi yake ni kujilinda na adui binadamu, ss watoto wanazitumia vibaya kugombea wanawake, mwingine katoka njombe kwenda iringa kumuua demu wake denti!! kaaaz kweli kweli! pamoja na hayo yooooote, bado haki yangu mimi kama raia mwema kumiliki siraha iko PALEPALE!