TANZIA: Waziri Membe amefiwa na kaka yake mkubwa

Gentamycine hauko sawa kifikra.Mh.Membe anashiriki kikamilifu kwenye hizi kampeni.Ila kaa ukijua kuwa pia majukumu ya uwaziri yanambana ila pia pamoja na kuwa alimuuguza kaka yake ambaye leo hii katutoka pia anamuuguza mwanaye wa mwisho na mdogo wake wa mwisho.Huu wakati anahitaji faraja yetu na sio malalamiko yasiyo na mashiko.
Hakuna faraja kwa magamba mpaka yang'oke ndo yatapewa!
 
R.I.P ila Mdogo wako ulimwacha pengine ndio chanzo cha wewe kuondoka,mungu ameonyesha ukuu na utukukufu wake ili Mdogo wako Benard ashuhudie kwa macho matendo yako makuu,alisema Lowassa hawezi kushika hata kikombe cha chai,hawezi kuzunguka uwanja,cjuii ila pengine kipindi hicho marehemu bro wako aliweza yote hayo lakini mungu kamchukuaa..,,pole sana
 
Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa na mbunge wa jimbo la Mtama mkoani Lindi anayemaliza muda wake Mh.Bernard Kamillius Membe amefiwa na kaka yake kipenzi ndugu Simon Kamillius Membe kilichotokea leo asubuhi nchini India.

Msiba upo mkoani Lindi kijijini Rondo kilichopo jimbo la Mtama.Mwili wa marehemu utawasili nchini na ndege ya shirika la Emirates siku ya Jumatatu ya wiki ijayo majira ya saa tisa na robo alasiri!Tutazidi kuwajuza zaidi.Mungu ametoa na Mungu ametwaa,jina lake lihimidiwe.Amen!

kwann huwa hawazikii huko huko india?au tanzania ni maalumu kwa makaburi
 
Mimi Pole Yangu Nitaitoa Pale Tu Nitakapomuona Akiungana Na TEAM MAGUFULI Kuhangaika Kumtafutia Urais Kwani KIUKWELI Haonyeshi USHIRIKIANO ALIOTAKIWA Kuuonyesha Kwa Wana CCM Na Hili Lipo Wazi Hata Kwa Wana CCM Wote. Inaonekana Bado Ana KINYONGO Cha Kukosa KUTEULIWA Kuwa Flag Bearer Kwani ALIJIPANGA And He Was Very Optimistic. Anyway Mtanisaidia Kumpa Pole Zangu Japo Ni Za Shingo Upande. TULIMTEGEMEA MNO Huyu Kada Lakini Ni Kama AMETUSALITI Hivi. Binafsi KANISONONESHA Sana Na MTANISAMEHE Kama Post Yangu Hii ITAWAKWAZA Ila Nimeona NIFUNGUKIE Hapa Hapa Ujumbe UFIKE Na UMFIKIE. Mazishi Mema.

sasa si alikuwa ana uguza? magufuli kasusiwa na mke wake,sembuse Membe?
 
Poleni wafiwa! vifo hivi vinasababishwa na siasa chafu! CCM jifunzeni, mtubu, ili msamehewe!
 
Gentamycine hauko sawa kifikra.Mh.Membe anashiriki kikamilifu kwenye hizi kampeni.Ila kaa ukijua kuwa pia majukumu ya uwaziri yanambana ila pia pamoja na kuwa alimuuguza kaka yake ambaye leo hii katutoka pia anamuuguza mwanaye wa mwisho na mdogo wake wa mwisho.Huu wakati anahitaji faraja yetu na sio malalamiko yasiyo na mashiko.

Akhsante Sana Kwa TAARIFA Na UFAFANUZI Mrs. Membe.
 
Mimi Pole Yangu Nitaitoa Pale Tu Nitakapomuona Akiungana Na TEAM MAGUFULI Kuhangaika Kumtafutia Urais Kwani KIUKWELI Haonyeshi USHIRIKIANO ALIOTAKIWA Kuuonyesha Kwa Wana CCM Na Hili Lipo Wazi Hata Kwa Wana CCM Wote. Inaonekana Bado Ana KINYONGO Cha Kukosa KUTEULIWA Kuwa Flag Bearer Kwani ALIJIPANGA And He Was Very Optimistic. Anyway Mtanisaidia Kumpa Pole Zangu Japo Ni Za Shingo Upande. TULIMTEGEMEA MNO Huyu Kada Lakini Ni Kama AMETUSALITI Hivi. Binafsi KANISONONESHA Sana Na MTANISAMEHE Kama Post Yangu Hii ITAWAKWAZA Ila Nimeona NIFUNGUKIE Hapa Hapa Ujumbe UFIKE Na UMFIKIE. Mazishi Mema.

Wewe ni mpumbavu sana ila hujijui tu,unadhani hata kama akimpigia debe huyo magufuli wenu ndo atashinda? Huu mwaka ndo mwisho wenu,na vile mlivyo wajinga kama farao mnadhani mtashinda tu,ujinga wenu umewapofusha hata ufahamu hamsomi hata alama za nyakati mnakuja na nyimbo za kijinga eti ccm mbele kwa mbele,mlivyoivuruga nchi bado mnajiamini kipi majuha nyie?
 
Mimi Pole Yangu Nitaitoa Pale Tu Nitakapomuona Akiungana Na TEAM MAGUFULI Kuhangaika Kumtafutia Urais Kwani KIUKWELI Haonyeshi USHIRIKIANO ALIOTAKIWA Kuuonyesha Kwa Wana CCM Na Hili Lipo Wazi Hata Kwa Wana CCM Wote. Inaonekana Bado Ana KINYONGO Cha Kukosa KUTEULIWA Kuwa Flag Bearer Kwani ALIJIPANGA And He Was Very Optimistic. Anyway Mtanisaidia Kumpa Pole Zangu Japo Ni Za Shingo Upande. TULIMTEGEMEA MNO Huyu Kada Lakini Ni Kama AMETUSALITI Hivi. Binafsi KANISONONESHA Sana Na MTANISAMEHE Kama Post Yangu Hii ITAWAKWAZA Ila Nimeona NIFUNGUKIE Hapa Hapa Ujumbe UFIKE Na UMFIKIE. Mazishi Mema.

Katika hotuba yake ya mwisho bungeni Ben alisema;

Nasimama hapa kuwahutubia kwa mara ya mwisho ila nitarudi kuwahutubia bunge lijalo nikiwa nimevaa kofia nyingine.

Hivyo jamaa bado anahasira ya kukatwa

R.I.P kaka wa Membe
 
Gentamycine hauko sawa kifikra.Mh.Membe anashiriki kikamilifu kwenye hizi kampeni.Ila kaa ukijua kuwa pia majukumu ya uwaziri yanambana ila pia pamoja na kuwa alimuuguza kaka yake ambaye leo hii katutoka pia anamuuguza mwanaye wa mwisho na mdogo wake wa mwisho.Huu wakati anahitaji faraja yetu na sio malalamiko yasiyo na mashiko.
Hakuna faraja kwa magamba mpaka yang'oke ndo yatapewa!
 
Kwanini wanafia nje halafu wanasafirishwa?Balali mbona kafia nje na kazikwa hukohuko nje?
 
Mimi Sio mnafiki na sipendi unafiki. Siwezi kufurahia kifo cha MTU yoyote, siku zote namwomba Mwenyezi Mungu atupe afya njema na maisha marefu. Natoa Pole kwa ndugu wote Wa Marehemu lakini kamwe sitoi pole kwa Benard Membe.

Ila katika hili ni lazima niseme tena nasema wazi. Nilijisikia vibaya sana kuona makada wa CCM wakifurahi na kumdhihaki Edward Lowassa kwa Afya yake na hata kufikia kumchulia kifo. Membe, Kikwete, Magufuli, Nape, Mwigulu, Sitta nk ndio vinara katika hili. Wao wenyewe wanajua wana ndugu wagonjwa wanawauguza lakini wakati huo huo wanadhihaki Afya za watu wengine. Mwenyezi Mungu anajua cha kuwalipa. Ninawaombea maisha mema, marefu na Afya njema.
 
Back
Top Bottom