Mwenyekiti mwenza wa UKAWA na chama cha NLD Mzee Emanuel Makaidi amefariki dunia katika Hospitali ya Nyangao Huko Lindi.
RIP EMANUEL MAKAIDI MWENYEKITI WA UKAWA NA NLD.
=======
UPDATES:
- JamiiForums imethibitisha kutokea kwa msiba huu baada ya kuongea na familia ya marehemu
Poleni Sana Ukawa....
Kwahiyo Uchaguzi Na Huko Unahairishwa!!