Tanzia: Mwanamasumbwi maarufu, Muhammad Ali afariki dunia akiwa na miaka 74

SISI SOTE NI WAJA WAKE MOLA, NA KWAKE WOTE TUTAREJEA.
"Float like a butterfly, sting like a bee, his hands can't hit what his eyes can't see."
REST IN PEACE CHAMPS, MY ROLE MODEL AND IDOL.
AMEEN
 
Ally vs Frazier II..... Mtanange wa raundi 15.....ally alishinda ila akasema alijihisi kufa......RIP






Pambano la karne huyo fraizer alikuwa anarusha ngumi kama uneme na yeye wakati mwalimu wake anarusha tauro alikuwa analalamika bado anamtaka ally amalizane nae ally alikuwa amepozi anasikirizia aiseee anahisi alikuwa anategea kama fraizer anarudi akimbie ring aiseeee
 
Favourite actions by Muhammad Ali.
1.He changed his name from Cassius Clay to Muhammad Ali. He almost kicked anyone who kept calling him the old name.
2. He refused to go to war in Vietnam by the Government order. He said the Vietcong guys were doing no evil worse than the White's government was doing to the black community.
He did much more trying to show how valuable a black man is.

REST IN POWER ALI..
Meet Pac in his thugs' mansion in heaven and deliver our concerns.
Mourn till we join you.
Rest in peace champ.
 
Pamoja na kuwa msibani ila hizo clip zimeniacha hoi kwa vicheko.
Kuna watu walikuwa wanajifanya wabishi mwisho wao ulikuwa mbaya kwa huyu mwamba.
Marehemu Oscar Bonavena alijifanya mbishi kila akisimama anakutana nayo chinii,akisimama nyingine tena chalii hadi refa kambana,"we bwana usiamke tena hapa utakufa".
Yule mzee mwingereza Brian London kujifanya ujuaji wa kubonyea zisimpate,jamaa alipomfumania upper cut moja akasimama mvua iliyofuatia alikuwa haelewi akwepe ipi aache ipi ha ha haa,dah!kwaheri nguli.Ahsante kwa burudani.






Mr London atakuwa alidesa mambo kila ikipigwa anabonyea watu walivyotekenya hali ikawa mbaya kama kuku wa mdondo..tutamiss sana mikono ya chuma boxing machine
 
a97e27980c65501969b1b9e5fd345df2.jpg
 
Dah....halafu anaenda kukutana na mwamba mwenzake Fraizer .Jamaa alikuwa mkali sana wa boxing,pambano walikuwa wanapigana ngumi bila kukumbatiana round zote kama hakuna kesho. kama kuna marudio huko watapokutana hakika itakuwa boxing zaidi hile walitwangana manilla..jamaa anawaheshimu sana upande wa kutupa ngumi...Greatest Legends ambao hatutawaona tena kwenye uso wa dunia
 
Back
Top Bottom