Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,633
- 28,639
Ndugu wana Jf kama tulivojulishwa kuhusu msiba wa rafiki yetu Heaven Sent na kutokana na nia ya baadhi ya members kuomba tuweke namba kwajili ya rambirambi katika kumfariji mwenzetu tumeshaurina tukaona sio mbaya kuweka namba hiyo kwajili ya kumsapot mwenzetu....
Binafsi nimeongea na mfiwa usiku huu,na msiba upo Mbeya Ilomba karibu na kanisa la Roman....
Mazishi ni leo Jmosi. Kijiji cha Itete wilayan Busokelo.
Hivyo kwa walioko huko wanaweza kuhudhuria kadri wawezavyo
Kwa yeyote atakaeguswa kutoa kiasi chochote alichonacho anaweza akatuma mchango wake kwa no 0756839550 imesajiliwa kwa jina la Valentina Mallya....
Ukishatuma naomba unipm i'd yako na kiasi ulichotoa na jina la wakala kisha mimi nita confirm huku.... Tuzingatie uaminifu wa pande zote mbili ni muhimu zaidi...
Binafsi nimeongea na mfiwa usiku huu,na msiba upo Mbeya Ilomba karibu na kanisa la Roman....
Mazishi ni leo Jmosi. Kijiji cha Itete wilayan Busokelo.
Hivyo kwa walioko huko wanaweza kuhudhuria kadri wawezavyo
Kwa yeyote atakaeguswa kutoa kiasi chochote alichonacho anaweza akatuma mchango wake kwa no 0756839550 imesajiliwa kwa jina la Valentina Mallya....
Ukishatuma naomba unipm i'd yako na kiasi ulichotoa na jina la wakala kisha mimi nita confirm huku.... Tuzingatie uaminifu wa pande zote mbili ni muhimu zaidi...