TANZIA: Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege afariki Dunia

yaani anaogelea badala ya kuwaza ni kwa jinsi gani atuondolee aibu ya shirika la taifa kuwa na ndege moja huku wafanyakazi wakiwa 400?

Gwen myetu sijui Kama unajua utofauti wa tanzania airports authority na shirika la ndege la taifa, na siku nyingine uwe na record za kutosha kuliko kuropoka tu kuhusu Atcl. How wafanyakazi 400 uliwahesabu.
 
With deep sorrow, I wish to inform you that Eng. Suleiman Said Suleiman, the DG TAA, passed away yesterday.

Information received from staff of TAA at TB1 confirms that Eng. Suleiman drowned as he was swimming in the Indian Ocean behind the State House. The information further says that onlookers who saw him drowning, rushed to rescue him but he had taken too much salt water!



May His Soul Rest in Eternal Peace. AMEN

Poleni sana wafiwa. Mungu awape wepesi katika huu msiba wa kuondokewa na muhimili muhimu. Marehem alikuwa mcheshi sana na niliwahi kuonana naye kikazi.

Swali: hivi mdau, pale Ikulu wanaruhusu watu kupiga mbivu? pili, kiafya ni salama kweli? ref. bomba la maji taka.
 
yaani anaogelea badala ya kuwaza ni kwa jinsi gani atuondolee aibu ya shirika la taifa kuwa na ndege moja huku wafanyakazi wakiwa 400?
Usichanganye ATC, TAA pengine na TCAA. Hata kama angekuwa ATC, huwezi ukawa unawaza muda wote kuhusu ukame wa ndege za serikali
 
dah huyu jama alikuwa anajua kazi yake kweli kweli. Kiwanja kipya cha ndege ni kazi yake.
i hope sio suicide
 
Poleni sana wafiwa. Mungu awape wepesi katika huu msiba wa kuondokewa na muhimili muhimu. Marehem alikuwa mcheshi sana na niliwahi kuonana naye kikazi.

Swali: hivi mdau, pale Ikulu wanaruhusu watu kupiga mbivu? pili, kiafya ni salama kweli? ref. bomba la maji taka.
Mkuu asante kuuliza maana nilikuwa naendelea kusoma kutegemea kupata ufafanuzi zaidi. All in all, inasikitisha sana, Mungu ampumzishe mahala pema na aipe familia yake faraja
 
With deep sorrow, I wish to inform you that Eng. Suleiman Said Suleiman, the DG TAA, passed away yesterday.

Information received from staff of TAA at TB1 confirms that Eng. Suleiman drowned as he was swimming in the Indian Ocean behind the State House. The information further says that onlookers who saw him drowning, rushed to rescue him but he had taken too much salt water!



May His Soul Rest in Eternal Peace. AMEN


May His Soul Rest In Peace. I know the guy before he became the TAA Boss, very humble indeed.

We have got a lesson to learn here:

1. Swimming alone in the sea, too risky even if you are an expert, better have a company, it is the best safety practice.
2. We do not know the cause of his "drowning" ;

- was he exhausted?
- or did he suffer a heart attack while swimming?
- Was it a muscle pull that made him unable to swim thus drowning?
- or was he attacked by an object or an marine animal or mammal?

3. Its very important to regularly check our health, even if we are physically fit, there could be a risk developing in our body and unnoticed until its too late.

His loss of life should teach us something, and also to our Government, its time to deploy the coast guards.

Swimming is the best exercise when properly undertaken, lets not be discouraged.
 
Duuh niliwahi onana nae 2012 na tulisafiri nae toka mbeya mpaka dar na coastal aviation, Jamaa mcheshi sana kweli nimeamini dunia tunapita RIP[/Q
Mwaka 2011 wakati wa zile mvua nyingi nilikutana naye mbeya pale kwenye kiwanja chao cha ndege (MAFIAT), kwa umri wangu na majukumu yangu sikuamin kama angenikorogea chai na kunikaribisha vizuri ofisini kwake.

R.I.P Brother!
 
Huyu jamaa alifanya documentary na mwandishi wa tbc juzi juzi , alikuwa anajisifia sana namna alivyoboresha viwanja vya ndege tz. RIP
Mkuu na mimi niliiangalia yote jamaa alikuwa na confidence sana kuelezea mafanikio waliyofikia na matarajio yao baada ya terminal 3 kuanza kazi
 
May His Soul Rest In Peace.
- Was it a muscle pull that made him unable to swim thus drowning?
- or was he attacked by an object or an marine animal or mammal?

.

Marine animal or mammal!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom