Katibu wa CHADEMA wilaya ya Karagwe kamanda Geophrey Nguma amefariki usiku wa kuamkia leo jijini Mwanza alikopelekwa kwa matibabu ya figo.
Source: Mwenyekiti Baraza la wazee Karagwe mzee PERES.
Awali iliwekwa thread hapa JF, https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-katibu-wa-chadema-karagwe-yuko-mahututi.html
R.I.P kamanda