TANZIA: Ivan Ssemwanga (ex wa Zari) amefariki dunia usiku huu

Alitakiwa amove on na aoe kabisa, wallah leo angekuwa hai, kusema ukweli jinsi mond na zari walivyokuwa wanajianika lazima alikuwa anaumia tu.Sasa yeye yupo peke yake ,alitakiwa avute mke aweke ndani. Mimi nimejifunza kitu, mwenzako akikuacha na wewe tafuta mtu muwe public mahusiano yenu.
sawa..
 
Alitakiwa amove on na aoe kabisa, wallah leo angekuwa hai, kusema ukweli jinsi mond na zari walivyokuwa wanajianika lazima alikuwa anaumia tu.Sasa yeye yupo peke yake ,alitakiwa avute mke aweke ndani. Mimi nimejifunza kitu, mwenzako akikuacha na wewe tafuta mtu muwe public mahusiano yenu.
Yeah kabisa umesema ukweli sasa yeye aliamini hakuna mwanamke kama zari!kumbe mindset angetafuta mwanamke akaweka ndani angeumia Zari na haya yote yasingempata.
 
Je angekufa zarii?? Achen mambo ya uongo bhana na mnajuaje kati ya zari na ivan nani alimuacha mwenzie?
 
Huyo mzee anatafuta pa kutokea, si angesema na wanawake alikuwa nao hadi kumnyanyasa mke wake hadi kuamua kutowaonyesha wazi kwa kujutia alichofanya pia kama alijuta tho. Hakufikiri mkewe ataendelea na maisha na kuwa happy. Wanamsingizia tu kwa sababu wanataka kumdhulumu...hakuna lingine.

Update 26/05 14:22 hrs: inaonekana watu wanataka tu kuchafua jina la hiyo familia...yote Ivan kamwachia Zari kama kawaida. Ila wenye wivu wanaandika mambo ya uongo ili ionekane Zari amefanya ya ajabu na kumbe hakuna hilo. Wengine ndio marafiki na ndugu wa mbaki wanatamani washikilie ila ndio hawana chao hapo. Kwenye post namba moja kuna update ya msemaji wa familia ya Ivan.
 
Aliyekudanganya zari na ivan hawakuoana nani? Walioana traditional marriage in Uganda ambayo kisheria ni ndoa halali. Unadhani kwanini chibu hajakimbilia kumuoa zari ?
Apa sasa lugha gongana kwan mm nimesema hakuewa kisheria
 
Niliwahi kuona siku za mwanzo wa mahusiano ya kijana wetu na huyu dada Waganda wakimuita 'gold digger'. Hapa iko wazi kuwa hata wale wanaosema yule dogo ni 'paste' na marehemu na Waswahili wanasema 'kitanda hakizai haramu', hivyo mwenzio akinyolewa basi hata kama hujatia maji lakini inabidi uanze kuyatafuta.
By the way, katika comments zote sijaona hata moja inayosema chanzo cha mauti ya shemeji yetu, ni malaria!?
 
hehee mleta mada uache ujinag utakuwa team wema........... mana wao bila aibu wako kule insta bila kujali zarina na yeye ni mwanadamu yule ni baba wa wanawe hata wangekosana nini !!wale watoto wananawaunganisa halafu wao bila aibu wala soni wanaongea maneno ya kishenzi utadhani huyu wema hatakufa ama ni mtakatifu kumbe na yeye ni kahaba kama makahaba wengine wa kule kona bar mchewww hebu muache upuuzi na hizi team mav.i mav.... kuna wakati mnapaswa kutumia busara na utashi wa kibinadamu team ushuzi wengine hata hamewafahamu hao mnaoshabikia kwa kuwaona zaidi ya picha zao lakini mwajifanya wajuaji nyamafu zako
Umeshindwa kufikisha hoja bila matusi......

Mbona wewe ukahaba wako huuoni kwa kutembea na boss wako Erasto msuya
 
Back
Top Bottom