ndugu upo sahihi sana.wengi wanaandika rip utafikili MUNGU ni mjomba wao.ukweli ni kwamba kama mtu akifa matendo yake yanamfuata na mzigo wa matendo yake ataubeba mwenyewe.hakuna cha alale kwa amani wala pema peponi.Allah amuweke maala anapostahili kutokana na matendo yake
Nimecheka sana,yaani hapa najua umejizuia sanatangulia gamba
In short hawa watu huwa hawajielewi kabisa, ni kama wamekuwa brainwashed1. RIP
2. kaufyata!
3. Wanasema wenzao chotara hizbu wakati wao ndio wana familia dubai!
Alisema labda waipindue vinginevyo hawatoi nchi kwa makaratasi !sasa kapinduka yeye! Mungu mkubwa makaafir watangulie wasituharibie nchi.Unamkumbuka yule mama wa Zanzibar aliyesema Serikali ya Zanzibar haiwezi kupewa watu waiongoze kwa vikaratasi wakati wa BMK?
Huyo ni bingwa wa mipasho bungeni alikuwa anaitwa Asha Bakari, kwa mujibu wa ITV amefariki dunia huko Dubai.
Apumzishwe kwa amani
Kila kitu kitapitaR.I.P! Huyu mama alimsumbua sana JUSA kile kipindi cha bunge la katiba!
Hivi Mheshimiwa kama Samwel Sitta anajisikiaje anapokumbuka kwamba ndiye aliendesha kama Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba. Bunge lililojaa ubaguzi wa kila aina, matusi ya aibu hadi ajisikia vibaya hii clip ya Bi Asha Makame, nimejisikia vibaya sana!