TANZIA: Bi. Asha B. Makame afariki dunia

Allah amuweke maala anapostahili kutokana na matendo yake
ndugu upo sahihi sana.wengi wanaandika rip utafikili MUNGU ni mjomba wao.ukweli ni kwamba kama mtu akifa matendo yake yanamfuata na mzigo wa matendo yake ataubeba mwenyewe.hakuna cha alale kwa amani wala pema peponi.
 
Hivi Mheshimiwa kama Samwel Sitta anajisikiaje anapokumbuka kwamba ndiye aliendesha kama Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba. Bunge lililojaa ubaguzi wa kila aina, matusi ya aibu hadi ajisikia vibaya hii clip ya Bi Asha Makame, nimejisikia vibaya sana!
 
Unamkumbuka yule mama wa Zanzibar aliyesema Serikali ya Zanzibar haiwezi kupewa watu waiongoze kwa vikaratasi wakati wa BMK?
Huyo ni bingwa wa mipasho bungeni alikuwa anaitwa Asha Bakari, kwa mujibu wa ITV amefariki dunia huko Dubai.
Apumzishwe kwa amani
Alisema labda waipindue vinginevyo hawatoi nchi kwa makaratasi !sasa kapinduka yeye! Mungu mkubwa makaafir watangulie wasituharibie nchi.
 
Ningekuwa kwenye msiba hata kumswalia nisingependekeza.Tangulia gamba,umetukera na kutukashifu sana.
 
R.I.P! Huyu mama alimsumbua sana JUSA kile kipindi cha bunge la katiba!
 
Hivi Mheshimiwa kama Samwel Sitta anajisikiaje anapokumbuka kwamba ndiye aliendesha kama Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba. Bunge lililojaa ubaguzi wa kila aina, matusi ya aibu hadi ajisikia vibaya hii clip ya Bi Asha Makame, nimejisikia vibaya sana!

Halafu umeona jamaa walikuwa wanamshangilia kabisa. Yaani kama Bungeni la kawaida nako kunakuwaga vile, matusi nje nje, Hatuna wawakilishi.
 
Back
Top Bottom