Aliyejitangazia kuwa ni Raisi halali akimsindikiza Bi. "Nchi haitolewi kwa vikaratasi". Mungu amrehemu huko aliko. Mungu ni mwingi wa rehema. Msindikizaji ana cha kutafakari. Kesho au kesho kutwa ni zamu yake.
Raisi aliyechaguliwa na wapiga kura wengi na kukwamishwa na CCM na Jecha anamsindikiza ndugu yake na kumtakia safari njema. Huu ni ubinadamu na utu uliotukuka anaouonesha Maalim Seif.
Dereva wa mkwamo akijionea mwenyewe hali inayomsubiri kwa kuwasweka Masheikh Korokoroni kwa matamanio ya ulwa.
Nimejaribu kuangaza kwenye hizi picha sijamwona Mwenyekiti wa ZEC, Jecha Salum Jecha. Kwa nini anaitisha "uchaguzi" na nchi haitolewi kwa vikaratasi?
Link ZanziNews : Mazishi ya Marehemu Asha Bakari Makame katika Kijiji cha Kianga Zanzibar