TANZIA: Bi. Asha B. Makame afariki dunia

DSC_5379.JPG

Aliyejitangazia kuwa ni Raisi halali akimsindikiza Bi. "Nchi haitolewi kwa vikaratasi". Mungu amrehemu huko aliko. Mungu ni mwingi wa rehema. Msindikizaji ana cha kutafakari. Kesho au kesho kutwa ni zamu yake.
DSC_5385.JPG

Raisi aliyechaguliwa na wapiga kura wengi na kukwamishwa na CCM na Jecha anamsindikiza ndugu yake na kumtakia safari njema. Huu ni ubinadamu na utu uliotukuka anaouonesha Maalim Seif.
DSC_5388.JPG

Dereva wa mkwamo akijionea mwenyewe hali inayomsubiri kwa kuwasweka Masheikh Korokoroni kwa matamanio ya ulwa.
DSC_5344.JPG


Nimejaribu kuangaza kwenye hizi picha sijamwona Mwenyekiti wa ZEC, Jecha Salum Jecha. Kwa nini anaitisha "uchaguzi" na nchi haitolewi kwa vikaratasi?

Link ZanziNews : Mazishi ya Marehemu Asha Bakari Makame katika Kijiji cha Kianga Zanzibar
 
Unamkumbuka yule mama wa Zanzibar aliyesema Serikali ya Zanzibar haiwezi kupewa watu waiongoze kwa vikaratasi wakati wa BMK?
Huyo ni bingwa wa mipasho bungeni alikuwa anaitwa Asha Bakari, kwa mujibu wa ITV amefariki dunia huko Dubai.
Apumzishwe kwa amani
sio apumzike kwa amani mi naona ni motoni tu amna namna
 
Back
Top Bottom