TANZIA: Anna Senkoro, mwanamke wa kwanza kugombea Urais nchini Tanzania(2005), afariki dunia

Mwishoni mwa mwaka jana alijitokeza na kusema akipewa nafasi atagimbea tena urais.Mungu ampe pumziko la milele
Huyu namfahamu kitambo
Nilikutana nae Cuba kwa mara ya kwanza
Miaka ya 90's nilikutana nae Kyela wakati huo alikuwa ameolewa na Edgar J Mwakasumi(R.I.P)
Rest In peace Dr.
Na pole kwa wanae kina Joyce Harold.
 
List ya wagombea wa 2005 wengi wametutoka, pumzika kwa amani Dr. Anna
 
Pole sana kwa wote walioguswa na huu msiba..... Mungu awatie nguvu
 

Aliyekuwa mgombea urais wa kike wa kwanza Tanzania (Uchaguzi 2005) kupitia chama cha APPT-Maendeleo, Dr. Anna Claudia Senkoro ameaga dunia.

Inadaiwa aliugua ghafla usiku wa kuamkia leo na amefariki baada ya kukimbizwa hospitali asubuhi ya leo.

Msiba upo nyumbani kwake, Tabata Segerea jijini Dar.

Taarifa zaidi zitafuatia...

====
Matokeo ya Urais 2005)

Jakaya Kikwete (CCM)
9,123,952
80.28%

Ibrahim Lipumba (CUF)
1,327,125
11.68%

Freeman Mbowe (CHADEMA)
668,756
5.88%

Augustine Mrema (TLP)
84,901
0.75%

Sengondo Mvungi (NCCR-Mageuzi)
55,819
0.49%

Christopher Mtikila (DP)
31,083
0.27%

Emmanuel Makaidi (NLD)
21,574
0.19%

Anna Senkoro (PPT-Maendeleo)
18,783
0.17%

Leonard Shayo (MAKINI)
17,070
0.15%

Paul Kyara (SAU)
16,414
0.14%


Bwana Ametoa Bwana ametwaa
Wagombea urais 2005
1. Sengondo Mvungi (R.I.P)
2. Christopher Mtikila (R.I.P)
3. Emmanuel Makaidi (R.I.P)
4. Anna Senkoro (R.I.P)
 
Sengondo Mvungi (RIP)
Chriss Mtikila (RIP)
Emmanuel Makaidi (RIP)
Anna Senkoro (RIP)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom