HISIA KALI
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 694
- 108
Tanzania ni shamba la bibi kila mtu anavuna anavyotaka.
Napenda rejea maneno ya aliyekuwa katibu wa CCM yusuph makamba alipopata nafasi ya kuojiwa na waandishi wa habari kuhusu watoto wa wanasiasa kuwa nao wana siasa.makamba alitoa jibu fupi sana kwamba panya wa kanisani atakula biblia na yule wa msikitini atakula quran,hii inamaanisha nini kama baba yako ni mvuvi na mtoto atakuwa mvuvi.ivi ndo nchi yetu inavoendeshwa sijui lini tunaweza ondokana na huu mfumo wa dhuluma mungu tusaidie.