DOUBLE AGENT
Member
- Jul 3, 2011
- 38
- 34
Kuna tetesi kutoka serikalini kuwa kampuni ya TanzaniteOne ya Afrika Kusini inayofaidika na madini ya tanzanite kuliko serikali ya Tanzania na wachimbaji wote wazalendo imemwajiri kwa miaka kadhaa sasa mtoto wa Kamishna wa Madini kwenye Wizara ya Nishati na Madini, Gray Mwakalukwa, kama meneja wake na mwanasheria wa kampuni. Hili suala linaleta mgongano wa kimaslahi (conflict of interest) kwani baba hawezi kuisimamia kampuni iliyomwajiri mwanae. Hivi sasa Gray Mwakalukwa amehamishiwa kwenda Shirika la Madini la Taifa (Stamico), ambalo nalo pia linasimamia sekta ya madini nchini.
Anaye fahamu vizuri tetesi hizi atupe data tafadhali. Je, Lusekelo Mwakalukwa, ambaye ni Corporate Governance Manager and Company Secretary wa TanzaniteOne ana uhusiano gani na Gray Mwakalukwa, Kamishna wa Madini. Ni mtu na baba yake, wana undugu wowote au majina yamefanana tu?
Tanzanite supply will not be depleted soon-Staryee
Anaye fahamu vizuri tetesi hizi atupe data tafadhali. Je, Lusekelo Mwakalukwa, ambaye ni Corporate Governance Manager and Company Secretary wa TanzaniteOne ana uhusiano gani na Gray Mwakalukwa, Kamishna wa Madini. Ni mtu na baba yake, wana undugu wowote au majina yamefanana tu?
Tanzanite supply will not be depleted soon-Staryee