Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,667
- 20,363
Chezea vyote sio uhai. Halijamkuta huyo. Ikifikia anatapatapa kwa kukosa hewa mwenyewe ataamrisha ndege iwashe aende Uswiss.Hivi yule wa juu kabisa atakubali kwenda kutibiwa kwa mabeberu?
Jeuri yote ni kwa vile ana pumua vizuri ndio maana anabwata bwata ovyo.