Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,226
Exploration estimates indicate the country has about 53.9 million pounds of uranium oxide (U3O8) deposits that, at current prices of $41 per pound, is worth $2.2 billion.
Mantra, which will mine uranium in the south of the country at Namtumbo district, Ruvuma region, expects to produce 3.7 million pounds per year worth $151.7 million, using a 1,500 strong workforce and an investment of about $400 million, according to its website.
Source: THE EAST AFRICAN PAPER APRIL 2010
MY TAKE
Jana via TBC news hawa jamaa wa Mantrac wamesema huo mgodi ni wa 7 duniani na ni wa 3 Afrika.
Yaani kidunia tumeizidi USA na kiafrika ata South Afika iko nyuma yetu iyo inaonyesha ukumbwa wa Mgodi na wakaupamba kwa kusema ni world class.
Kama ayo madini yana thamani ya $ 2.2 billion gawio la serikali apo ni ngapi?
Je iyo uranium itatumika kufanya nini?Kudhalisha umeme,makombora au ndo export?
Katika malengo ya Mantrac suala la kuzalisha umeme kwa GRID ya taifa halipo see www.mantraresources.com.au/upload/documents ila watazalisha kwa matumizi ya maeneo husika.
Kama ni kuzalisha umeme mbona ata haimo kwenye projects ambazo TANESCO wanazo as per their website.Wakati am sure iyo URANIUM ingeweza cover SADC countries pia.
Katika hili ELIMU BURE(MSINGI NA SECONDARY ) NA AFYA BURE NA UMEME WA UHAKIKA TANZANIA VINAWEZEKANA.
Let us be carefull on this ili tusije boronga when it comes to MCHUCHUMA AND LIGANGA WITH IRON ORE AND COAL.
My plea to concerned parties: I know for Uranium some negotiations are still underway please serve the nation interest for the existing and future generations.
NB:ALAFU UDONGO WA TANI 20 UMEPELEKWA SOUTH KAMA SAMPLE KAAAAAAZI KWELI KWELI.
Mantra, which will mine uranium in the south of the country at Namtumbo district, Ruvuma region, expects to produce 3.7 million pounds per year worth $151.7 million, using a 1,500 strong workforce and an investment of about $400 million, according to its website.
Source: THE EAST AFRICAN PAPER APRIL 2010
MY TAKE
Jana via TBC news hawa jamaa wa Mantrac wamesema huo mgodi ni wa 7 duniani na ni wa 3 Afrika.
Yaani kidunia tumeizidi USA na kiafrika ata South Afika iko nyuma yetu iyo inaonyesha ukumbwa wa Mgodi na wakaupamba kwa kusema ni world class.
Kama ayo madini yana thamani ya $ 2.2 billion gawio la serikali apo ni ngapi?
Je iyo uranium itatumika kufanya nini?Kudhalisha umeme,makombora au ndo export?
Katika malengo ya Mantrac suala la kuzalisha umeme kwa GRID ya taifa halipo see www.mantraresources.com.au/upload/documents ila watazalisha kwa matumizi ya maeneo husika.
Kama ni kuzalisha umeme mbona ata haimo kwenye projects ambazo TANESCO wanazo as per their website.Wakati am sure iyo URANIUM ingeweza cover SADC countries pia.
Katika hili ELIMU BURE(MSINGI NA SECONDARY ) NA AFYA BURE NA UMEME WA UHAKIKA TANZANIA VINAWEZEKANA.
Let us be carefull on this ili tusije boronga when it comes to MCHUCHUMA AND LIGANGA WITH IRON ORE AND COAL.
My plea to concerned parties: I know for Uranium some negotiations are still underway please serve the nation interest for the existing and future generations.
NB:ALAFU UDONGO WA TANI 20 UMEPELEKWA SOUTH KAMA SAMPLE KAAAAAAZI KWELI KWELI.