Tanzania yathibitisha uwepo wa wagonjwa wapya 5 wa COVID-19. Waathirika wafikia 32, watatu wafariki dunia

Wakifanya hvyo maambukizi yatakuwa mengi zaidi maana watu wataondoka hyo wilaya kwenda maeneo mengine na maambukiz yatashamiri
Kwa ushauri wangu ni vyema serikali ieleze wazi Wilaya au Halmashauri ambazo kwa DSM zimeguswa zaidi au kifupi kuelezea maeneo wanayotoka wagonjwa ili mtanzania wachukue tahadhari zaidi awapo maeneo hayo. Hakuna sababu ya kuficha kabisa.

Mtoto Wa Mungu!
 
Huu ni muda muafaka mipaka ya mikoa kufungwa, ili kukabili hii hali vinginevyo tuaisha

Pia kila mkoa watendaji wa itaa na kata waanze tambua wakazi wao kwakupitia wenyeviti wa mitaa ili kubaini wageni

Tukiacha hii hali ugojwa ukifika maporini kwa wafugaji uko ambao wakiumwa mpaka wakate kauli ndio waende hospital itakuwa balaa zaidi
 
Mkuu umewahi kufika nchi yoyote huko first world countries? Kama huko kunawa mikono hakujasaidie,unadhani huku kajamba nani itafanyakazi?
Iwe nimefika au sijafika siyo issue hapa...Kila nchi ina mazingira yake katika mapambano haya...huko ulaya mazingira ni tofauti...kwetu kunawa mikono inaweza kusaidia pamoja na hatua nyingine of course....

ukifanya lockdown hapa watu watakufa kwa njaa wengi zaidi kuliko ambavyo wangekufa kwa Corona...ulaya chakula wananunua Mara moja au mbili kwa mwezi na kuweka kwenye friji...sisi hapa kwetu mtu anaenda kubaingiza kupata fedha ya kula siku hiyo yeye na familia yake..ukifanya lockdown ni issue kubwa hapa kwetu...

tatizo hili ni kubwa kudhibiti kwa nchi za afrika au zile zinazoendelea...jee tuzuie watu wasiende misikitini na makanisani? Viongozi wa dini wameambiwa wachukue tahadhari..je tusiende kumsalimu jirani? Je tusiende benki, hospitali na kadhalika? Vipi kuhusu mipaka? Lakini pia Kuna njia nyingi za panya..na sisi ni ' wakarimu' kwa wageni...halafu sisi watanzania tuna matatizo mawili au matatu makubwa....hatuna nidhamu ya maisha huwa tunadharau na kuvunja taratibu,

sheria na maelekezo ya uongozi....halafu sisi ni walalamikaji au walalamishi wazuri...huwa tunapenda kutupa lawama kwa wengine na hasa serikali ila kwa mtu binafsi kutekeleza wajibu wake ni ngumu...kwa ujumla sisi waTZ ni wanafiki...

Mimi Nina hakika wako waTZ wanawahifadhi kwa Siri watu walioingia nchini kutoka nje kinyume na maelekezo ya serikali....Anyway hili la Corona tunalo na nidhamu yetu ndiyo itakayotuokoa...
.
 
Nadhan kuna haja ya kuanzia kutangaza majina ya wanaofarik ili tujue tunaepukana vp na kufatilia watu wao wa karibu.
Hii kuficha ndio italeta athari zaid.Sababu corona sio ugonjwa wa kuoneana aibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1954,
Nisaidie kunawa mikono kwa mtu anayetumia mwendo kazi from Kariakoo to kimara au daladala ya Kariakoo to mbagala rangi tatu kunamsaidia Nini?

Mtu anayefanya biashara pale Congo street au karume kunawa mikono kuna msaidiaje?Nchi maji ya kunywa tu ni shida then mnajitoa ufahamu kuwa tunawe mikono.You should be out of your mind
 
mulwanaka, post: 34932177, member: 417135"]
WAGONJWA WA COVID-19 NCHINI WAFIKA 32, WATATU WAMEFARIKI DUNIA

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ametangaza kuongezeka kwa wagonjwa wapya watano wa virusi vya Corona nchini, aidha mapema leo wagonjwa wapya wawili pia wametangazwa

Mumpatie copy anayejiita mwenye jiji la D'Salaam kwanza nyie si mnamuogopa kumwambia.
 
1954,
Sasa ubora wa ccm upo kwenye Nini? Kama baada ya miaka 58 ya kuwatawala watanzania, watu bado ni wabangaizaji
 
Hivi virusi avikuingia nchini kwa njia ya upepo.Watu walitoka navyo kwenye nchi zilikua za kwanza kupata ili tatizo..Mlishauriwa kufunga mipaka,kutopokea watalii,kuto ruhusu ndege zinazo toka nje ya nchi ila mkashupaza shingo aisee.
Hao walioingiza virusi si watanzania wenzetu?
 
Tjn
Nisaidie kunawa mikono kwa mtu anayetumia mwendo kazi from Kariakoo to kimara au daladala ya Kariakoo to mbagala rangi tatu kunamsaidia Nini? Mtu anayefanya biashara pale Congo street au karume kunawa mikono kuna msaidiaje?Nchi maji ya kunywa tu ni shida then mnajitoa ufahamu kuwa tunawe mikono.You should be out of your mind
Tunajitoa ufahamu....you should be out of your mind...ni maneno yako uliyoweka hapa...anyway pengine una solution mwenzetu...Kila la kheri...
 
Kwa ushauri hapa serikali iongeze wataalamu waupimaji wa hii CORONA pia huu ndio wakati wakutumia zile maabara zinazotembea, na inabidi lockdown ihusike katika kila mji ambao watautenga kwaajili ya kufanya vipimo

NB:. kila mji wahakikishe uwepo wa maabara inayotembea na uwepo wa experties .....

It's guys serious.....

Am wondering nitafanyaje kazi..... Mungu wangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu bahati mbaya kwetu ni kwamba wale viongozi tuliowaamini kwamba wanaakili,hekima na maarifa ya kutuongoza iwe kwenye shida au raha ndo wametudumbukiza shimoni.Kama watanzania wote wangekuwa na akili Kama zangu,tulipaswa tuanze kuwafukia kwanza wao kabla sisi hatujafukiwa na corona
Mkuu ni kashfa kubwa sana,masharti ya msingi ya WHO yapo wazi,lakini sijui ni ukaidi au kutafuta kick za kisiasa?Lakini come October 2020 tunaweza kujua ni nani mfia nchi na watu.
 
Ndio utajua watanzania serikali yetu Ni utopolo , uongo mwingi .. Hakuna plan yoyote ya kututoa kwenye huu mkwamo. Nchi Ni Kama iko gizani.

Hakuna Kiongozi , kula mtu anaongea lake. Huyu anasema tusikae ndani kesho anasema atakamata wazururaji. Mwingine askofu anasema corona imeletwa na 5G network. Ujinga mtupu kila sehemu ... Ni Kama system zote za serikali zineparalyse.

Serikali inatuomba raia michango badala ya wao ndio watupe walau 500 kila raia anunue hata sabun za kunawia.

Jinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom