Tanzania yathibitisha uwepo wa wagonjwa wapya 5 wa COVID-19. Waathirika wafikia 32, watatu wafariki dunia

Janga likiondoka duniani ?? hivi sasa dunia iko kwenye recession, CCM wakianza kuwa hawana pesa za kuwalipa majeshi na vyombo vya dola vinavyowaweka madarakani ndio watapata akili
Ccm hawakuliona hilo likija hahaha
 
Sisi maisha yetu tumemkabidhi Mungu viongozi wetu walisha tusaliti kabisa wanawaza siasa tu.

Nini ambacho hakikujulikana?

Mungu wa watanzania tu?

Sasa wamekuwa wakunga kusubiria watoto wazaliwe.

Achieni ngazi hadi mtumbuliwe?
 
Hivi ni nyie wote au ni mimi tu wakati wa taarifa ya Corona nakuwaga nime"concentrate" kuangalia lips tu za Mh???😁😁😁😁

Napata faraja kwel kwel

#stayhomeSTAYSAFE


Usije kupoteza immune yako tu , ukaja kushambuliwa na vidudu vya corona
 
Page ya 12 hakuna hata fununu ya taarifa za kujulikana waliofariki? Hata Mange na Kigogo nao chali?
 
Janga likiondoka duniani ?? hivi sasa dunia iko kwenye recession, CCM wakianza kuwa hawana pesa za kuwalipa majeshi na vyombo vya dola vinavyowaweka madarakani ndio watapata akili
Watawakopa maana wanawajua vizuri mno
 
Wewe kama una akili zako timamu chukua tahadhari kwako na familia yako ingia YouTube tafuta video za kuishi na mgonjwa ndani ya nyumba kujilinda na mambo mengine muhimu.

Serikari aitoi elimu sahihi na mbinu zenyewe very inadequate huyo msemaji mkuu wa serikari ata ukimuuliza VARK ni kitu gani I doubt kama anaweza jibu let alone what are communication mix strategies za kupambana na Corona; huo ndio ukweli hata kama ampendi kuhusikia asilimia kubwa ya watu serikalini hawana uwezo.

Hili janga linachukua muda kutokea mradi lipo tayari picha kamili aipo mbali na tukifika huko ata huyo Makonda hapati ventilator hospitali kama akililihitaji sembuse sie wengine.

Sasa kama bado unataka kusikiliza upuuzi wa viongozi wetu watu wamungu waliombee taifa na shughuli ziendelee kama kawa tuna uhuru huo pia wa kuamua kama raia.
 
Kama mtu mmoja anaweza kuambukiza watu kumi kwa siku ni wazi kwa week maabukizi yatakuwa kwa maelfu,hasa kwenye msongamano wa watu.

Nimewasikia washauri wa Raisi Trump wakitaka social distancing kama basic effective means ya kupambana na Corona. Wakaongezea na lockdown.

Wakiamini waweze kupunguza maabukizi na kuudhibiti kwa muda mfupi.
Sasa huku kwetu unproved and nonscientific tumeambia kinyume.

Kama tungeweza lockdown na social distancing kwa week mbili tunaweza kuudhibiti na kuutokomeza kwa muda mfupi.Yapo machungu lakini machungu yake ni kadogo ukilinganisha na vifo vinavyoepukikana.Faida yake tunarudi hali ya kawaida kwa muda mfupi tukaendelea na kazi zetu.

Lakini njia yetu inaweza kugeuka hit or miss itatuchukuwa muda mrefu kutokomeza huu ugonjwa.

Pia nimemsikia Magic Johnson mcheza baskets ball maarufu kwenye CNN akisema wamarekani weusi hawakuamini kama Covid-19 inaweza kuuwa watu weusi, lakini sasa hivi weusi ndio wanaongoza vifo huko Marekani.

Raisi Kikwete aliwahi kusema akili za kuambiwa changanya na zako.
Mpaka hapo mwenye macho.
 
Tuendelee kujipa matumaini lakini kiukweli hawa virusi ni wapya kila njia tunayotumia ni kama majaribio tu.Huko Marekani, Spain na italy wanatekeleza maelekezoya kujilinda kwa asilimia 100 lakini maelfu kwa maelfu bado wanaambukizwa na kufa.

Hivi waziri mkuu wa Uiengereza hajui kunawa kwa sabuni na maji yanayotiririka?au hana sanitizers?Hili janga hakuna wa kumlaumu mwishowake kila mtu abaki na imani yake
 
sblandes,
Mkuu bahati mbaya kwetu ni kwamba wale viongozi tuliowaamini kwamba wanaakili,hekima na maarifa ya kutuongoza iwe kwenye shida au raha ndo wametudumbukiza shimoni.

Kama watanzania wote wangekuwa na akili Kama zangu, tulipaswa tuanze kuwafukia kwanza wao kabla sisi hatujafukiwa na corona
 
LUS0MYA,
Hivi virusi avikuingia nchini kwa njia ya upepo.Watu walitoka navyo kwenye nchi zilikua za kwanza kupata ili tatizo..Mlishauriwa kufunga mipaka, kutopokea watalii,kuto ruhusu ndege zinazo toka nje ya nchi ila mkashupaza shingo aisee.
 
Back
Top Bottom