Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,184
- 56,702
Unataka ukahudhurie mazishi?Jambo la muhimu kwa sasa ni kufanya kila njia kuwajua waliofariki leo!
Unataka ukahudhurie mazishi?Jambo la muhimu kwa sasa ni kufanya kila njia kuwajua waliofariki leo!
Mmmh okStay home model usitoke nje ya jiji..... tungethibiti huo ungonjwa lakini kwasasa uko mwz Ruvuma utaudhibiti je
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapumbavu haoNaangalia maombi KKK T Ubungo Mch anasema Mungu ambariki JPM kwa kuwa Mfano ktk Vita Dhidi ya Corona
How can you avoid ,we are not politising ...it is politics itself!
HahahahahaHivi Magufuli ndio kakimbia katuachia Dar yetu na Corona...?!
Uzalendo Umemshinda?!
Sijui Kama wanahitaji kura ya mtu ili kubakia madarakaniUchaguzi mkuu unakuja tusiwaache hawa ccm na dharau zao tuwafyekelee mbali
Kuruhusu Pandemic kuingia nchini kizembe na kusababisha vifo WHO inaweza kuongea na Fatou Bensouda ili Magufuli na kundi lake wafikishe mbele ya MahakamaSijui Kama wanahitaji kura ya mtu ili kubakia madarakani
Mkuu watanzania tunakosea hapa,kwamba mtu aliyefanya uzembe uliogharimu maisha yetu naya watoto wetu hatuwezi kumuadabisha wenye bali tunasibiria WHO au mzungu ndo aje amwadabishe,sina hakika Kama tupo seriousKuruhusu Pandemic kuingia nchini kizembe na kusababisha vifo WHO inaweza kuongea na Fatou Bensouda ili Magufuli ma kundi lake wafikishe mbele ya Mahakama
Wewe Mungu anakuona ujue!Unataka ukahudhurie mazishi?
Umejiabisha!! Umemsoma vizuri computerarsenal ??WAPINZANI HAO sio wa kuzingatiwa sana wanavyoongea ni wa kupuuzwa
Mkuu umewahi kufika nchi yoyote huko first world countries? Kama huko kunawa mikono hakujasaidie,unadhani huku kajamba nani itafanyakazi?Kunawa mikono ...kutofanya Safari zisizo za lazima...kuzuia mikutano na mikusanyiko...kuweka karantini wanaoingia nchini kutoka nje...kutoa elimu ya Corona na kadhalika na kadhalika...