Tanzania yakumbwa na uhaba wa wanaume zaidi ya milioni moja

Makadirio idadi ya Watanzania 2017
Jumla: 51 557 365
Wanawake: 26 455 398
Wanaume: 25 101 967
Source NBS 2017

Wanawake zaidi ya 1,353,431 hawana wanaume TZ
Kwa takwimu hizo labda useme kuna uhaba wa wanawake na sio wanaume. Kwa uwiano uliotakiwa kuwa sawa ilipaswa kuwa wanawake 31000 na wanaume 20000.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika ha 25 mill, mashoga uliwatoa?
Tena hawa ndo tatizo.
Nilishaoa; nilishapata watoto, hiyo hainihusu - labda tu watokee wa kuomba msaada niwafanya nyumba ndogo. .
Ila nikiangalia inawezekana ni kweli.
Majuzi tulikuwa kwenye harusi, idadi ya wanawake ilikuwa kubwa sana ukiringanisha na wanaume. Niliona kipindi tunacheza kwaito, ilikuwa kila nikigeuka nakutana na mkia wa kondoo!
 
Nitajie mfano wa nchi moja tu ambako wanaume ni wengi kuliko wanawake?
Hata makundi ya wa nyama siku zote majike ni wengi.
Si suala la kuwa na idadi sawa.
Elimu, elimu, elimu.
As of now China wanaume ni wengi kuliko wanawake

Kutokana na 'one child policy' miaka ya 70 wengi walipendelea watoto wa kiume
Na China ndo Taifa lenye idadi kubwa zaidi ya watu duniani..so u can imagine
 
Makadirio idadi ya Watanzania 2017
Jumla: 51 557 365
Wanawake: 26 455 398
Wanaume: 25 101 967
Source NBS 2017

Wanawake zaidi ya 1,353,431 hawana wanaume TZ
Labda ungeenda mbali zaidi na kutupa picha ya idadi ya watu kijinsia kwa makundi ya umri mf watoto vijana wazee
Ukisema wanawake hao hawana wanaume umeangalia muktadha wa mahusiano ambao ni wa watu wazima arnd 17+ years

what if uki'analyze zaidi ukakuta ni kundi la watoto wa miaka 0-5 ndio lina wasichana wengi kuliko wavulana?je hitimisho lako litasimama bado

Tupate taarifa zaidi for analysis
 
Utafiti wa Twaweza ndiyo ulitoa matokeo hayo baada ya kuwahoji wanaume elfu moja kwa njia ya mtandao nchini Tanzania. Si unajua tena Twaweza tafiti zao ni za kisayansi, zinaungwa mkono hadi na Fatuma Karume.
😁😁😁😁😁😁😁
Ila tatizo la nguvu za kiume ni kubwa sana Dsm kuliko mikoani,labda kutokana na vyakula visivyo vya asili vinavyoliwa na wakaazi wengi wa mjini.
 
😁😁😁😁😁😁😁
Ila tatizo la nguvu za kiume ni kubwa sana Dsm kuliko mikoani,labda kutokana na vyakula visivyo vya asili vinavyoliwa na wakaazi wengi wa mjini.
Tukiwaeleza watoe oda tuwatumie hata magimbi hawataki. Shauri yao; huku tunaendelea kuburudika tu kwa raha zetu.
 
As of now China wanaume ni wengi kuliko wanawake

Kutokana na 'one child policy' miaka ya 70 wengi walipendelea watoto wa kiume
Na China ndo Taifa lenye idadi kubwa zaidi ya watu duniani..so u can imagine
Upo sahihi na hiyo ni special case. One child policy. Itawasumbua kwa miaka mingi.
 
Tungekuwa idadi sawa pangechimbika,wako wengi na bado watu wanafumaniwa,vuta picha kama tungekuwa tunawazidi
 
Back
Top Bottom