jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,323
Watanzania wenzangu, mkataba wa uchimbaji dhahabu bhulyankhulu ni vibaya kuuacha uendelee, nimetafiti binafsi na kupata takwimu ambazo napenda wanajamvi mzijue, pengine itafanyika jitihada kwa pamoja tusimamishe wizi huu.
Kila container la 20ft hupeleka sumu bhulyankhulu na kupakia "gold ore" yenye thamani sawa dolari za marekani milioni tatu na laki tano (usd 3,500,000m), msafara mmoja hujumuisha magari kwa uchache 20, mara nyingine hufika 35 na kupindukia.
msafara huu hufanywa mara mbili au tatu kwa mwezi. ina maana kwa uchache 20*3*3500000 ni sawa usd 210,000,000, ukizibadili zinakuwa tsh 315,000,000,000. kwa mwezi, inakuwaje tufe njaa.
thamani ya dolari ni tsh. 1500.
kwa mwaka bhulyankhulu pekee tunaibiwa shilingi 3,780,000,000,000
nimeambatanisha jpg baadhi ya magari yaliyosheheni sumu yakielekea bhulyankhulu yakirudi na gold ore (mchanga wa dhahabu)
naomba kuwasilisha
Kila container la 20ft hupeleka sumu bhulyankhulu na kupakia "gold ore" yenye thamani sawa dolari za marekani milioni tatu na laki tano (usd 3,500,000m), msafara mmoja hujumuisha magari kwa uchache 20, mara nyingine hufika 35 na kupindukia.
msafara huu hufanywa mara mbili au tatu kwa mwezi. ina maana kwa uchache 20*3*3500000 ni sawa usd 210,000,000, ukizibadili zinakuwa tsh 315,000,000,000. kwa mwezi, inakuwaje tufe njaa.
thamani ya dolari ni tsh. 1500.
kwa mwaka bhulyankhulu pekee tunaibiwa shilingi 3,780,000,000,000
nimeambatanisha jpg baadhi ya magari yaliyosheheni sumu yakielekea bhulyankhulu yakirudi na gold ore (mchanga wa dhahabu)
naomba kuwasilisha