Tanzania yabadilishana sumu kwa dhahabu!!!

jogi

JF-Expert Member
Sep 25, 2010
25,558
25,322
Watanzania wenzangu, mkataba wa uchimbaji dhahabu bhulyankhulu ni vibaya kuuacha uendelee, nimetafiti binafsi na kupata takwimu ambazo napenda wanajamvi mzijue, pengine itafanyika jitihada kwa pamoja tusimamishe wizi huu.
Kila container la 20ft hupeleka sumu bhulyankhulu na kupakia "gold ore" yenye thamani sawa dolari za marekani milioni tatu na laki tano (usd 3,500,000m), msafara mmoja hujumuisha magari kwa uchache 20, mara nyingine hufika 35 na kupindukia.
msafara huu hufanywa mara mbili au tatu kwa mwezi. ina maana kwa uchache 20*3*3500000 ni sawa usd 210,000,000, ukizibadili zinakuwa tsh 315,000,000,000. kwa mwezi, inakuwaje tufe njaa.
thamani ya dolari ni tsh. 1500.
kwa mwaka bhulyankhulu pekee tunaibiwa shilingi 3,780,000,000,000
nimeambatanisha jpg baadhi ya magari yaliyosheheni sumu yakielekea bhulyankhulu yakirudi na gold ore (mchanga wa dhahabu)
naomba kuwasilisha
 

Attachments

  • IMG00244-20110101-0933.jpg
    IMG00244-20110101-0933.jpg
    70.9 KB · Views: 107
Wameamua kutupa sumu pia!!!???
Yaani hawatosheki na kuvuna shamba la bibi.
Wanahakikisha wanatutoa uhai pia.
Tujipange tuwashughulikie.
 
Watanzania wenzangu, mkataba wa uchimbaji dhahabu bhulyankhulu ni vibaya kuuacha uendelee, nimetafiti binafsi na kupata takwimu ambazo napenda wanajamvi mzijue, pengine itafanyika jitihada kwa pamoja tusimamishe wizi huu.
Kila container la 20ft hupeleka sumu bhulyankhulu na kupakia "gold ore" yenye thamani sawa dolari za marekani milioni tatu na laki tano (usd 3,500,000m), msafara mmoja hujumuisha magari kwa uchache 20, mara nyingine hufika 35 na kupindukia.
msafara huu hufanywa mara mbili au tatu kwa mwezi. ina maana kwa uchache 20*3*3500000 ni sawa usd 210,000,000, ukizibadili zinakuwa tsh 315,000,000,000. kwa mwezi, inakuwaje tufe njaa.
thamani ya dolari ni tsh. 1500.
kwa mwaka bhulyankhulu pekee tunaibiwa shilingi 3,780,000,000,000
nimeambatanisha jpg baadhi ya magari yaliyosheheni sumu yakielekea bhulyankhulu yakirudi na gold ore (mchanga wa dhahabu)
naomba kuwasilisha
Hatua za haraka zinahitajika!!!
 
Hizo sumu ni kwa ajili gani???? Jamani viongozi wetu wanafanya nini???? utafikiri mchezo wa kuigiza???
 
Mkubwa hiyo sumu ni kwa ajili ya kutumia katika shughuli za uchimbaji au ni sumu kutoka nje inakuja kutupwa hapo Bulyankulu??
 
Mkubwa hiyo sumu ni kwa ajili ya kutumia katika shughuli za uchimbaji au ni sumu kutoka nje inakuja kutupwa hapo Bulyankulu??

ni sumu kwa ajili ya uchimbaji wa madini ambayo inatoka nje, kumbuka kuwa athari za sumu hiyo tunabaki nazo sisi, wanachukua dhahabu bure, rejea hesabu zangu, angalia picha pia uone hayo magari yaliyopakiza hiyo sumu.
wametupangia sisi tumpate asilimia ngapi ya faida kama vile dhahabu hiyo ni yao.
hatujawahi kuwapangia wenye visima vya mafuta kuwa tutanunua mafuta ghafi kwa bei yetu, wanapanga wao, iweje hatuna jeuri kwenye dhahabu yetu??????
 
Watanzania wenzangu, mkataba wa uchimbaji dhahabu bhulyankhulu ni vibaya kuuacha uendelee, nimetafiti binafsi na kupata takwimu ambazo napenda wanajamvi mzijue, pengine itafanyika jitihada kwa pamoja tusimamishe wizi huu.
Kila container la 20ft hupeleka sumu bhulyankhulu na kupakia "gold ore" yenye thamani sawa dolari za marekani milioni tatu na laki tano (usd 3,500,000m), msafara mmoja hujumuisha magari kwa uchache 20, mara nyingine hufika 35 na kupindukia.
msafara huu hufanywa mara mbili au tatu kwa mwezi. ina maana kwa uchache 20*3*3500000 ni sawa usd 210,000,000, ukizibadili zinakuwa tsh 315,000,000,000. kwa mwezi, inakuwaje tufe njaa.
thamani ya dolari ni tsh. 1500.
kwa mwaka bhulyankhulu pekee tunaibiwa shilingi 3,780,000,000,000
nimeambatanisha jpg baadhi ya magari yaliyosheheni sumu yakielekea bhulyankhulu yakirudi na gold ore (mchanga wa dhahabu)
naomba kuwasilisha

Mkuu upo sahihi kabisa.
Sumu hiyo ni kemikali ijulikanayo kama "CYANIDE". ni sumu hatari sana. tuliona kule geita na kahama mambo yaliyotokea watu walibabuka, mifugo iliathirika na kwa taarifa tu madhara ya sumu hii huwa inakwenda vizazi hadi vizazi. Kemikali hii hutumika kusafishia madini hasa ya dhahabu.

Mimi hutumia barabara ya morogoro kutoka maeneo ya kibamba kila siku. Huwa nashuhudia kila baada ya wiki 2 fleet ya malori si chini ya 40 au 50 yakitokea bandarini kuelekea bara huku yakiwa na mabango ya kuashiria kuwa yamebeba sumu. "Cyanide" pamoja na "Mercury" ndizo kemikali zitumikazo kusafisha madini ya dhahabu, zinatumika sana na migodi ya hapa tanzania na ni KEMIKALI HATARI SANA KUPITA MAELEZO.

Wanachukua mali zetu, wanatuachia sumu na mahandaki. Tufanyeje?
 
Jamani kwa hii nchi kuwataka wabadilike wao kwa wao ni kwa neema tuu, Kwani watu hawa wamekaa kwenye harufu mbaya kwa mda mrefu na sasa wameizoea(fatigue) kwa hiyo hawafahamu kama kuna kitu kimeoza tena. Hapa labda watu wapige maombi mtu sijui afe ili uchaguzi urudiwe
 
Inabidi tuangalie vizuri hizi taarifa maana kama ni kweli tunaweza kuyafuata hayo magari na tukikuta ni kweli... Hii itakuwa ni kashfa kubwa sana kwa nchi hii..
 
Mkuu upo sahihi kabisa.
Sumu hiyo ni kemikali ijulikanayo kama "CYANIDE". ni sumu hatari sana. tuliona kule geita na kahama mambo yaliyotokea watu walibabuka, mifugo iliathirika na kwa taarifa tu madhara ya sumu hii huwa inakwenda vizazi hadi vizazi. Kemikali hii hutumika kusafishia madini hasa ya dhahabu.

Mimi hutumia barabara ya morogoro kutoka maeneo ya kibamba kila siku. Huwa nashuhudia kila baada ya wiki 2 fleet ya malori si chini ya 40 au 50 yakitokea bandarini kuelekea bara huku yakiwa na mabango ya kuashiria kuwa yamebeba sumu. "Cyanide" pamoja na "Mercury" ndizo kemikali zitumikazo kusafisha madini ya dhahabu, zinatumika sana na migodi ya hapa tanzania na ni KEMIKALI HATARI SANA KUPITA MAELEZO.

Wanachukua mali zetu, wanatuachia sumu na mahandaki. Tufanyeje?
Angalau angalau!!
 
Watanzania wenzangu, mkataba wa uchimbaji dhahabu bhulyankhulu ni vibaya kuuacha uendelee, nimetafiti binafsi na kupata takwimu ambazo napenda wanajamvi mzijue, pengine itafanyika jitihada kwa pamoja tusimamishe wizi huu.
Kila container la 20ft hupeleka sumu bhulyankhulu na kupakia "gold ore" yenye thamani sawa dolari za marekani milioni tatu na laki tano (usd 3,500,000m), msafara mmoja hujumuisha magari kwa uchache 20, mara nyingine hufika 35 na kupindukia.
msafara huu hufanywa mara mbili au tatu kwa mwezi. ina maana kwa uchache 20*3*3500000 ni sawa usd 210,000,000, ukizibadili zinakuwa tsh 315,000,000,000. kwa mwezi, inakuwaje tufe njaa.
thamani ya dolari ni tsh. 1500.
kwa mwaka bhulyankhulu pekee tunaibiwa shilingi 3,780,000,000,000
nimeambatanisha jpg baadhi ya magari yaliyosheheni sumu yakielekea bhulyankhulu yakirudi na gold ore (mchanga wa dhahabu)
naomba kuwasilisha
Duh!
 
Aisee huu uzi uliletwa miaka sita iliyopita....Leo ndo anapatikana mzalendo wa kuokoa jahazi. Ama kweli mwomba Mungu hachoki. Na maombi yamepokelewa barabara........
 
Akina zito kabwe wamepiga sana hii pesa ya madini. Sasa ameikosa amepoteza uelekeo. Mwingine ni kafumu nae kababua pesa yetu ya madini ikamlevya hadi akawa anabwabwaja kuwa mh Rais kuzuia makontena ya mchanga atalipa taifa hasara.
Muone mdomo ulivyo na tamaa
tapatalk_1495627996921.jpeg
 
Aisee huu uzi uliletwa miaka sita iliyopita....Leo ndo anapatikana mzalendo wa kuokoa jahazi. Ama kweli mwomba Mungu hachoki. Na maombi yamepokelewa barabara........
Yaaah!!!
 
Mkuu upo sahihi kabisa.
Sumu hiyo ni kemikali ijulikanayo kama "CYANIDE". ni sumu hatari sana. tuliona kule geita na kahama mambo yaliyotokea watu walibabuka, mifugo iliathirika na kwa taarifa tu madhara ya sumu hii huwa inakwenda vizazi hadi vizazi. Kemikali hii hutumika kusafishia madini hasa ya dhahabu.

Mimi hutumia barabara ya morogoro kutoka maeneo ya kibamba kila siku. Huwa nashuhudia kila baada ya wiki 2 fleet ya malori si chini ya 40 au 50 yakitokea bandarini kuelekea bara huku yakiwa na mabango ya kuashiria kuwa yamebeba sumu. "Cyanide" pamoja na "Mercury" ndizo kemikali zitumikazo kusafisha madini ya dhahabu, zinatumika sana na migodi ya hapa tanzania na ni KEMIKALI HATARI SANA KUPITA MAELEZO.

Wanachukua mali zetu, wanatuachia sumu na mahandaki. Tufanyeje?



Gold cyanidation (also known as the cyanide process or the MacArthur-Forrest process) is a metallurgical technique for extracting gold from low-grade ore by converting the gold to a water-soluble coordination complex. It is the most commonly used process for gold extraction. Production of reagents for mineral processing to recover gold, copper, zinc and silver represents approximately 13% of cyanide consumption globally, with the remaining 87% of cyanide used in other industrial processes such as plastics, adhesives, and pesticides. Due to the highly poisonous nature of cyanide, the process is controversial and its usage is banned in a number of countries and territories.
 
Back
Top Bottom