Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,495
- 29,214
Road Licence ni TZS 40/= tu kwa lita 1,Wanasema wamejumlisha na road licence...kwenye mafuta
Je ndio hiyo tofauti ya Tanzania na Burundi?
Road Licence ni TZS 40/= tu kwa lita 1,Wanasema wamejumlisha na road licence...kwenye mafuta
Mafuta ya Kenya yanapitia Tanzania? Mafuta yanayotumika Burundi na Rwanda yanapitia TanzaniaMbona mafuta bei ya Diesel na petrol hapa Tanzania ni nafuu kushinda Kenya
Bado hujajibu swali kwanini mafuta bongo ni ghali kuliko BurundiYAANI NI HIVI!! BARABARA ZINALIPWA ROAD TOLLS!!..DUNIANI KOTE.Tanzania enzi za Rais Mkapa wakabadilisha wakaweka hii tol.kwenye mafuta!! Yes.Tanzania ina Road Toll kwa kila Lita ya mafuta ya Diesel na Petrol..Pale unaponunua mafuta Petro Station Serekali ya Tanzania inachukua Road Toll...Wengine pamoja na South Africa wana Phyisical Roadtoll Kiosk..na Ata wale wanaoenda China,UsA zipo....so sawa Burundi mafuta yao yoote yanapita hapa TZ. ila wanajua jinsi gani wanapata Roadtoll.yao.Sijaua why Maghufuli watanzania kila Jumba Bovu na Zuri wanampatia yeye.Ila kwa kweli huyu Baba Anajitaidi....Daima Tunaconect Dots Backward!!! Kuna Vizazi vitakuja mwelewa🥃🥃.Ata kwenye Bibilia Wana Wa Israel ....kutakuja kizazi kitamwelewa Yesu kuwa ndie Masia wa kweli...ila watakuwa too late.....Baniani Mbaya...Kiatu Chake Dawa
Dahh! Hiyo point yako hapo "Hakuna nchi hata moja duniani iliyowahi kupata maendeleo ya haraka kwa kuongeza kodi"Adui mkubwa wa uchumi ni kodi kubwa na uwingi wa kodi. Hakuna nchi hata moja Duniani iliyowahi kupata maendelea ya haraka kwa kuongeza kodi.
Dubai, nchi yenye kodi ndogo kabisa ndiyo iliyowahi kuujenga uchumi wake kwa kasi ya ajabu ndani ya miaka 15 tu.
Ukitaka kuona maajabu ya watawaka, watunga sheria na sera wa Tanzania, nenda nchi jirani kama Burundi na Rwanda, ambako nimeenda siku za karibuni kwa gari yangu. Bei ya diesel katika nchi hizi ni nafuu kuliko bei ya diesel Tanzania lakini diesel hiyo imepitia bandari ya Dar es Salaam.
Mwanza nilinunua diesel lita moja kwa sh 2350. Mpakani nilibadilisha shilingi 2m, nikapata faranca 2.4m (rate 1sh = 1.2 fr). Mjini Bujumbura nikaweka diesel kwa faranca 2,544 (sawa na shilingi 2,100), yaani shilingi 250 pungufu ya Mwanza.
Hiace (daladala) nyingi za Kagera, Geita, Mwanza na Shinyanga ni mitumba kutoka UgandaYale yale ya wafanyabiashara wa Tanzania kwenda Uganda kununua bidhaa kutoka China kwa bei nafuu wakati zimepitia bandari yetu. Tatizo kubwa la uchumi wa nchi hii linasabishwa na TRA.
hujaelewa alichoandika mbona maelezo yanajitoshereza kabisamkuu kwani huko bei ya diesel ni sh ngapi za kibongo?
mkuu angalia vzr alichoandikaaWewe unakwama wapi na hizo hesabu zako wakati hata ma H kunani basic mathematics wamesoma.
Shs 725 ulopata wewe huoni hizo hela ulotoa zina units tofauti? Yaani faranga utoe Tsh, Hahahaha
Tumia akili kidogo. Kwani TRA ndo inapanga viwango vya kodi?Yale yale ya wafanyabiashara wa Tanzania kwenda Uganda kununua bidhaa kutoka China kwa bei nafuu wakati zimepitia bandari yetu. Tatizo kubwa la uchumi wa nchi hii linasabishwa na TRA.
Jikite kwenye mada sawa huyo jamaa hata mimi kanCheki sasa majbu yao ya kiquma!! Eti haya ndiyo majitu tunayoyategemea kuifanya nchi yetu iwe ya uchumi wa viwanda!
Niliona alichoandika ila nilihisi kakosea kulingana na exchage rate ya huyo mwamba mwenye uzi 1Tsh=1.2 BIFmkuu angalia vzr alichoandikaa
Nikukumbushe kwamba mshauri wa kwanza katika "kuset" viwango vya kodi ni TRA ambaye ndiye yuko field.Huwa tunakosea. TRA kazi yao ni kukusanya kodi tuu. Wanao weka viwango na idadi ya kodi ni serikali kwa kupitia wizara ya fedha.
Hizi kodi na viwango vyake then vinapitishwa ns bunge.
Bunge likishapitisha hapo ndipo TRA wanaanza kukusanya kwa kutumia kodi zilizopitishwa na bunge.
Usifananishe watu wenye kufikiri na sisi Zinjanthropus.Dubai, nchi yenye kodi ndogo kabisa ndiyo iliyowahi kuujenga uchumi wake kwa kasi ya ajabu ndani ya miaka 15 tu.
Rudia kusoma nyie ndio huwa mnakimbilia kujibu maswali ktk mtihani kabla ya kusoma instructionsmkuu kwani huko bei ya diesel ni sh ngapi za kibongo?
Mkuu, na huyo aliyetowa lile jibu eti nae ni naibu waziri....vituko haviishi nchi hii.Cheki sasa majbu yao ya kiquma!! Eti haya ndiyo majitu tunayoyategemea kuifanya nchi yetu iwe ya uchumi wa viwanda!