Chilisosi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 3,051
- 747
Kweli hii nchi yetu kichekesho.
Wakati viwanda vinavyozalisha vyakula kama tanganyika packers vimekufa na vingine kama vya zana za kilimo nguo nk, viwanda vya kutengeneza ulabu, na sigara ambavyo kwa kifupi vinafupisha maisha ya mtanzania lakini ndio vinayoendeshwa kwa faida na havijatetereka,.
Hivi ni kwa nini???
Naomba majibu
Wakati viwanda vinavyozalisha vyakula kama tanganyika packers vimekufa na vingine kama vya zana za kilimo nguo nk, viwanda vya kutengeneza ulabu, na sigara ambavyo kwa kifupi vinafupisha maisha ya mtanzania lakini ndio vinayoendeshwa kwa faida na havijatetereka,.
Hivi ni kwa nini???
Naomba majibu