Tanzania tunapata snow/theluji - maajabu!

hivi na ile Ngereja anayosema "viwanda vya theluji" ndo nini?
 
Kweli mkuu. Mpiga Nyoka mvua ya mawe kwa kiingereza inaitwa 'hailstorm'. Theluji kwa kiingereza ni 'snow'. Mvua ya mawe inaweza hata kujeruhi na kuleta maafa kama kubomoa vioo na kadhalika. Snow ni nyepesi, laini, kwa wengine inakera lakini ikikuangukia haiumizi.

Nimewaelewa wakuu ila nadhani mleta maada alimaanisha Hail na sio snow. Hii ni kwasababu katika trapical weather tuna only 3 types of precipitations ambazo ni rainfall, fog na kwa kiasi kidogo Hail. Na tofauti ya snow na hail ni size ya ice particles.
 
Hahahahaaaa, pole sana mkuu, ulikuwa hulijui hilo? mbona kule kwetu kilimanjaro kuna kipindi ukiamka asubuhi miti imefunikwa na snows? mtu ukioga inabidi uoge huku maji yapo jikoni maana ukuyatoa tu ukayaweka kwenye ndoo yanakuwa ya baridi.

  • :lol:
 
Nimewaelewa wakuu ila nadhani mleta maada alimaanisha Hail na sio snow. Hii ni kwasababu katika trapical weather tuna only 3 types of precipitations ambazo ni rainfall, fog na kwa kiasi kidogo Hail. Na tofauti ya snow na hail ni size ya ice particles.
Mkuu Mpiga Nyoka na wengineo. Mjue kisa cha kuita ni MAAJABU kwenye thread ndio hicho hicho.Hii ni snow - theluji.Siyo Hail storm - mvua ya mawe wala nini.Snow ni fine spray- like.... na pia ilikuwa haijawa thick sana hadi kuweza kukisia ni nchi ngapi. Najua kwenye tropical climate snow ni kitu cha ajabu kwa sababu hizo hizo unazoelezea.Bahati mbaya sikua na camera. Pia naambiwa imeripotiwa na kuonyeshwa live hadi TBC 1 TV Nashangaa kwanini hakuna hata mtu ameona hiyo taarifa habari.
 
Ndo maendeleo hayo kwani hiyo theluji itawafanya baadhi ya watu wajione na wao nchi yao iko kama Ulaya.
 
Kweli mkuu. Mpiga Nyoka mvua ya mawe kwa kiingereza inaitwa 'hailstorm'. Theluji kwa kiingereza ni 'snow'. Mvua ya mawe inaweza hata kujeruhi na kuleta maafa kama kubomoa vioo na kadhalika. Snow ni nyepesi, laini, kwa wengine inakera lakini ikikuangukia haiumizi.

Ndicho kilichotokea..nyepesiiii laini iko kama pamba..inadondoka haiumizi..sijasimuliwa! Pia ninajua snow kwa kui feel huko kwenye nchi za ulaya na marekani na ndio hata nikasema inadondoka kama huko.
 
Back
Top Bottom