Salam!
Mwenye kujua chochote mpaka sasa Tanzania tumepata medali ngapi za Dhahabu, Fedha na Shaba? hapo jirani zetu kenya jana naona wameongeza nyingine ya Mwanariadha na kapteni wa Timu ya Olimipki David Rudisha, Hongereni Kenya
We uliona wapi mkimbiaji akawa mrembo? hebu wacheki wakenya,wako kimazoezi zaidi,si tunapeleka mrembo eti kisa anamvutia bosi fulani! maajabu! kwanza huko vijijini umasaini na umang'atini kuna wakimbiaji wa ukweli kabisa ,wao wanang'ang'ania ma sister du! haya sasa!