Leo nimewaona Watalii wetu London................... wa kwanza kashika nafasi ya 33 wa pili kawa wa 66 kama sikosei!!! Hizo pesa bora wangenunulia madawati badala ya kuwapeleka watalii............. na kupeperusha bendera wangetumia watu wa ubalozini kusevu gharama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.