Kang
JF-Expert Member
- Jun 24, 2008
- 5,495
- 2,252
Ahhh nimeandika lipost likubwa likagoma ku-post!
Anyway naona kuna Google Developer Day ya Uganda na ya Kenya zinakuja, TZ zero!
Pia kuna Apps4Africa competition naona kuna Rwanda event na Kenya Event, Bongo zero! Na hata ukiangalia kampuni zilizoanzisha hiyo competition TZ hatupo, sasa ningependa kujua what is going on jamani? TZ hatupo kabisa kwenye haya maswala ya IT au ni nini tatizo?
Anyway naona kuna Google Developer Day ya Uganda na ya Kenya zinakuja, TZ zero!
Pia kuna Apps4Africa competition naona kuna Rwanda event na Kenya Event, Bongo zero! Na hata ukiangalia kampuni zilizoanzisha hiyo competition TZ hatupo, sasa ningependa kujua what is going on jamani? TZ hatupo kabisa kwenye haya maswala ya IT au ni nini tatizo?