Tanzania tumejiandaaje kwa Ebola?

eeeee ni bora uingie na kuwashambulia mafisadi tuuuuu??? Itakuwa powa sana aiseeeee
 
Dalili zake ni Kupando kwa joto mwilini, kuvuja kwa damu sehemu zote za wazi za mwili, na kutoa kinyesi na mkojo kilichoambatana au kuchanganyika na Damu.
 
ni hakika sasa ugonjwa umengia nchini,mtoto mmoja miaka 6,ana dalili zote za huu ugonjwaas huu ni msimu wa kahawa na msimu umekubali,hivyo movement to and from Uganda ni nyingi,source my relatives resides there na wametangaziwa hivyo na wataalamu wa Afya!&nbsp

corrections
Hospital not hopital!,typing error
 
mkuu kwani ugonjwa wenyewe umeingia nchini kwa usafiri gani? Nijuze tafadhari.
 
Kwanini wasiseme ni anthrax/kimeta na waseme ni ebola?!, maana hizi pia ni clinical signs za antharx. Differential diagnosis ni muhimu.
 
mbona hatari sasa..sijui serikali yetu inampango gani kukinga watu wake..na hili nao..legelege pia..
 
Natumaini kwamba Wizara ya Afya ilikuwa na mpango proactive wa kuwa implemented katika hali kama hii, na kwamba ukweli mbaya kwamba ugonjwa huu unaua haraka utamaanisha kwamba angalau hakuna wengi wanaoambukiza. Na mipango ya elimu kwa wananchi kuwakataza mambo yanayohusiana sana na waliyozoea ya kuuguzana na kuzikana kiutamaduni itafanikiwa.

Ama sivyo tunaangalia mwanzo wa epidemic nyingine inayoweza kufanya UKIMWI uonekane cha mtoto.
 
ebola haiwezi kuwa kama ukimwi kwasababu vimelea vyake vinaua host harakahivyo hata karantini tu yaweza kuconfine ugonjwa.... hiv ni issue nyingine kabisa
 
Yap, jamaa angu kule kaprove hilo, ingawa jamaa walioko Bk wanakanusha. Waache waendelee kukanusha badala ya kufanya utafiti kuhakikisha. Muingiliano wa watu wa mkoa huo na Ug wala huwezi kuukwepa!
 
Wizara ya Afya iko keen na hii kitu. Ofcoz epidemics ndo kuna hela, Ngoja turned huko a tukale perdiem:israel::israel:
 
Kwenye taarifa ya habari ya saa mbili usiku wamesema ni uzushi tu.

Mkuu, Yule R.M.O sijui alikuwa kanywa viroba? Kakanusha kuwa mgonjwa hajafa ila hajasema kama ni Ebola au siyo. Halafu anailaumu JF wakati JF imepata info Radio one stereo news. Badala ya kuongelea Ebola ye anaishambulia JF.
 
Ni kawaida kwa viongozi wetu kukanusha jambo hata kama kuna ukweli ndani yake.
 
Back
Top Bottom