GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,006
Wana JF
Munaonaje United Republic of Tanzania tukaivua gamba ! Badala ya kuwa na mfumo wa serikali mbili na wazanzibari kudai serikali tatu,na kwa vile kizazi cha sasa hawalitaki au wanalichulia neno Tanganyika,kutokana wengi ya watanganyika wamezaliwa wakati kuna Tanzania.
Sasa mimi pendokezo langu Munaonaje tukavua gamba Tanzania United tukawa na taifa la watu wa tanzania People' Republic of Tanzania ?
Na huku tukawa na muungano mpya na makubaliano mapya na Zanzibar tukawa na United Republic of Tanzania and Zanzibar ?
People's Repulic of Tanzania -Kuwa mwanachama wa United Nation- Sovereign state - Pia kuwa mwana chama wa EAC
People'S Republic of Zanzibar- Kuwa manachama kamili United Nation- Sovereign state- Pia kuwa mwanachama wa EAC
United Republic of Tanzania and Zanzibar- kuwa serikali ya shirikisho.
Nafikiri mfumo wa muungano wa TZ ukapitiwa umpya, ili kuondoa migongano na kupunguza gharama kubwa zinatumika kulinda muungano huu ambao umekuwa na mivutano ndani ya miaka 47,hadi sasa kufikia wazanzibari kuuchukia na kutokwa ndani ya nyoyo kabisa hata amani hauna tena.
Munaonaje wana JF Great Thinkers
Munaonaje United Republic of Tanzania tukaivua gamba ! Badala ya kuwa na mfumo wa serikali mbili na wazanzibari kudai serikali tatu,na kwa vile kizazi cha sasa hawalitaki au wanalichulia neno Tanganyika,kutokana wengi ya watanganyika wamezaliwa wakati kuna Tanzania.
Sasa mimi pendokezo langu Munaonaje tukavua gamba Tanzania United tukawa na taifa la watu wa tanzania People' Republic of Tanzania ?
Na huku tukawa na muungano mpya na makubaliano mapya na Zanzibar tukawa na United Republic of Tanzania and Zanzibar ?
People's Repulic of Tanzania -Kuwa mwanachama wa United Nation- Sovereign state - Pia kuwa mwana chama wa EAC
People'S Republic of Zanzibar- Kuwa manachama kamili United Nation- Sovereign state- Pia kuwa mwanachama wa EAC
United Republic of Tanzania and Zanzibar- kuwa serikali ya shirikisho.
Nafikiri mfumo wa muungano wa TZ ukapitiwa umpya, ili kuondoa migongano na kupunguza gharama kubwa zinatumika kulinda muungano huu ambao umekuwa na mivutano ndani ya miaka 47,hadi sasa kufikia wazanzibari kuuchukia na kutokwa ndani ya nyoyo kabisa hata amani hauna tena.
Munaonaje wana JF Great Thinkers