Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 16,927
- 13,011
Nastaafu kushangilia Staz.
Litimu linaongozwa na matapeli,eti wanabadilisha jezi eti hazipigiki picha kwenye camera.
Bora nibakie Azam na ligi za ulaya.
Go to hell Tifutifu,malinzi na litaifa staz lenu.
Litimu linaongozwa na matapeli,eti wanabadilisha jezi eti hazipigiki picha kwenye camera.
Bora nibakie Azam na ligi za ulaya.
Go to hell Tifutifu,malinzi na litaifa staz lenu.