Kidzogolae
Senior Member
- Apr 20, 2008
- 133
- 2
halafu,ukiangalia sana hawa watu wanaopenda sana mazingira kuliko wananchi, utakuta ni wakenya. hebu tajeni uraia wenu hapa tuone. mnatupiga mchanga wa macho tu hapa. mbona wazungu hawana hata madini?wanakuja kuchuma madini huku na wameendelea kishenzi. wangekuwa wanalinda mazingira miaka hiyo ya industrial rev.si wangekuwa kama sisi. ona china, mazingira gani yanalindwa. MI NAONA TUENDELEE KUJENGA KILE KIWANDA. KAMA FLAMINGO WAKIFA BASI.KWANI TUNAWALA FLAMINGO BWANA?, kwanini tufe njaa wakati madini yapo?