G-GRAFIX
Member
- Mar 26, 2019
- 35
- 20
Nyie ndiyo 43% iliyobakiaMbona sisi tupo huku kijijini na tunafuraha tuu, maghala yanachakula mpaka vinaharibika, ngo'mbe wanatoa maziwa mpaka yanakosa mnywaji, matunda yamejaa mtini mpaka yanaoza,, daah tutake nini tena jamani,