eti aliyesikiliza vizuri asema... Je suala la kushughulikia mafisadi wa epa kasemaje... Mimi mawasiliano yalikata kwa dakika chache.....
kwaherini anapoteza mda wangu,kukiwa na jipya nambieni
Richmond na epa vipi?
sasa makamba na kundi lake ndio muda wa kuandaa maandamano ya kuunga mkono hotuba ya kisura
Wana JF naombeni namba ya simu ya mkononi ya the National Comedian (J. M. Kikwete). Ningepeta kumfahamisha maoni yangu baada ya hotuba yake hii ya leo.
sharubati ni juice kwa wale wasiOkijua kiswahili cha darasani kama mimi...
sasa anasema hatua zilizochukuliwa kwa wale waliotumia vibaya fedha za serikali. Wakurugenzi 27 wamefukuzwa kazi na wafanyakazi wengine 795 katika idara za fedha wameshughulikiwa....
ohh nooo connection imekata ghafla kimya.