Mkuu Kevo heshima mbele,nimevutiwa na kufurahishwa na hiyo ya kukalia farasi watatu.
Afadhali kama tai ndiyo ingekuwa inagusa washikaji zake pengine sehemu kubwa ya kiwili wili chake ingekuwa iko kwa farasi huyu mwananchi.
Kwa hali ilivyo nitatafuta mahali pa kujificha kama 2010 jemedari huyu ataibuka tena kidedea. Japo sitashangaa hilo kutokea pia!
Afadhali kama tai ndiyo ingekuwa inagusa washikaji zake pengine sehemu kubwa ya kiwili wili chake ingekuwa iko kwa farasi huyu mwananchi.
Kwa hali ilivyo nitatafuta mahali pa kujificha kama 2010 jemedari huyu ataibuka tena kidedea. Japo sitashangaa hilo kutokea pia!