i hear there are 100 companies ready to bid ... dont know what criteria going to be used here ... nchi ya kitu kidogo????
Biashara hii alishapewa Rostam Azizi muda mrefu. Hiyo kutangaza tender ni danganya toto.
i hear there are 100 companies ready to bid ... dont know what criteria going to be used here ... nchi ya kitu kidogo????
Nionavyo mimi mabilioni haya yanaweza kutumika vizuri zaidi kwenye elimu,afya au barabara
Muheshimiwa Rais Kikwete atalihutubia bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania siku ya alhamisi. Katika hotuba yake hiyo mojawapo ya mambo atakayozungumzia ni tuhuma za ufisadi zinazowakabili baadhi ya viongozi waandamizi wa serikali yake.
Sehemu mojawapo ya hotuba hiyo itazungumzia mapambano dhidi ya ufisadi, sehemu hii ya hotuba nimepewa na mmoja wa wanyeti wangu wa siku nyingi ambaye yuko Ikulu. Alisikitika kuwa iwapo hii hotuba ikisomwa kama ilivyo itawanyamizisha wabunge wapiga kelele kwani itaisafisha TAKUKURU na uongozi wake. Mnyeti huyo amenithibitishia kuwa wao kama Ikulu wanajua kuhusu uozo uliopo TAKUKURU na anakiri kuwa kuna mapungufu mengi sana ya kiutawala na kimaadili katika taasisi hiyo nyeti.
sehemu ya hotuba hiyo ambayo ikulu wamepata takwimu kutoka TAKUKURU inajumuhisha uongo na taarifa zilizotengenezwa kuwadanganya watanzania zikionyesha kwamba tangu Hoseah aingie madarakani utendaji wa kazi umeongezeka kwa kiasi kikubwa. Kwa mfano ripoti hiyo inaonyesha ongezeko la asilimia 292% katika kesi zilizopelekwa mahakamani. Ripoti hiyo inaendelea kudanganya kwa kuwaambia wabunge na watanzania waendelee kuwa na subira eti kesi za grand corruption zinachukua muda mrefu kufanyiwa kazi. Ukweli ni kuwa taarifa hii imelenga kuwanyamazisha wabunge wanaohoji kuhusu utekelezaji wa mapendekezo ya kamati ya tume ya mwakyembe yaliyotolewa bungeni.
Sitakuwa na muda wa kuichambua hotuba nzima hapa, Kwa mfano kuna kipengele kinachosema kuwa mafanikio yaliyopatikana tangu mwaka 2006 TAKUKURU imefungua ofisi za wilaya. Huu ni uongo na upotoshaji kwani kwa taarifa nilizonazo toka ndani ya TAKUKURU ni kuwa tokea uongozi mpya wa TAKUKURU uingie madarakani mwaka 2006 hakuna ofisi zozote mpya za wilaya zilizofunguliwa na TAKUKURU imefunga ofisi za wilaya zipatazo 20 kwa kisingizio cha kubana matumizi wakati bado wilaya hizo zinapigiwa hesabu kwenye budget.
Taarifa za kwamba ndani ya TAKUKURU hali ni mbaya, morari ya wafanyakazi ipo chini sana na mgawanyiko wa viongozi ni mkubwa tayari zimeshafika ikulu siku nyingi.
Katika taarifa hiyo wanaongelea mafanikio waliyoyapata katika mapambano dhidi ya rushwa tangu 2006 na wametaja kuhusu uchunguzi wa manunuzi ya rada. Hivi kweli kama kesi moja tu ya rada inawachukua miaka zaidi ya minne kuimaliza, hawa TAKUKURU wako serious? Kwa taarifa nilizonazo ni kwamba uchunguzi wa radar haufanywi na takukuru bali unafanywa na SFO ya uingereza, TAKUKURU wao ni bendera fata upepo tu.
Hii ni sehemu ya takwimu za mafanikio ya mapambano dhidi ya ufisadi zilizoingizwa kwenye hotuba itakayosomwa kesho.
TAKWIMU ZA KESI ZA RUSHWA (2005-2008)
Takwimu za: (A)kesi zilizopokelewa, (B)Kesi ambazo uchunguzi wake ulikamilika, (C)Watumishi waliochukuliwa hatua za kinidhamu, (D)Kesi zilizofunguliwa Mahakamani, (E)Kesi zilizoendelea kuendeshwa katika Mahakama mbalimbali, (F)Kesi zilizoshinda na watuhumiwa kuhukumiwa vifungo mbalimbali
Mwaka A B C D E F
2005 3,121 540 111 50 202 6
2006 6,320 1,688 209 71 205 18
2007 8,235 2,015 280 196 272 35
07/2008 3,840 615 36 80 288 24
ONGEZEKO LA UTENDAJI KAZI KWA ASILIMIA
(A)Taarifa ambazo zilipokelewa (B) Kesi ambazo uchunguzi wake ulikamilika (C) Watumishi waliochukuliwa hatua za kinidhamu (D) Kesi zilizofunguliwa Mahakamani (E) Kesi zilizoendelea kuendeshwa katika Mahakama mbalimbali (F) Kesi zilizoshinda na watuhumiwa kuhukumiwa vifungo mbalimbali
Mwaka A B C D E F
2005 - - - - - -
2006 102% 213% 88% 42% 2% 200%
2007 164% 273% 152% 292% 35% 483%
Muheshimiwa Rais jiridhishe kabla hujasoma hotuba hiyo bungeni ama sivyo utakuja kuumbuka mambo mengine yakifumuka.
muheshimiwa rais kikwete atalihutubia bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania siku ya alhamisi. Katika hotuba yake hiyo mojawapo ya mambo atakayozungumzia ni tuhuma za ufisadi zinazowakabili baadhi ya viongozi waandamizi wa serikali yake.
Sehemu mojawapo ya hotuba hiyo itazungumzia mapambano dhidi ya ufisadi, sehemu hii ya hotuba nimepewa na mmoja wa wanyeti wangu wa siku nyingi ambaye yuko ikulu. Alisikitika kuwa iwapo hii hotuba ikisomwa kama ilivyo itawanyamizisha wabunge wapiga kelele kwani itaisafisha takukuru na uongozi wake. Mnyeti huyo amenithibitishia kuwa wao kama ikulu wanajua kuhusu uozo uliopo takukuru na anakiri kuwa kuna mapungufu mengi sana ya kiutawala na kimaadili katika taasisi hiyo nyeti.
Sehemu ya hotuba hiyo ambayo ikulu wamepata takwimu kutoka takukuru inajumuhisha uongo na taarifa zilizotengenezwa kuwadanganya watanzania zikionyesha kwamba tangu hoseah aingie madarakani utendaji wa kazi umeongezeka kwa kiasi kikubwa. Kwa mfano ripoti hiyo inaonyesha ongezeko la asilimia 292% katika kesi zilizopelekwa mahakamani. Ripoti hiyo inaendelea kudanganya kwa kuwaambia wabunge na watanzania waendelee kuwa na subira eti kesi za grand corruption zinachukua muda mrefu kufanyiwa kazi. Ukweli ni kuwa taarifa hii imelenga kuwanyamazisha wabunge wanaohoji kuhusu utekelezaji wa mapendekezo ya kamati ya tume ya mwakyembe yaliyotolewa bungeni.
Sitakuwa na muda wa kuichambua hotuba nzima hapa, kwa mfano kuna kipengele kinachosema kuwa mafanikio yaliyopatikana tangu mwaka 2006 takukuru imefungua ofisi za wilaya. Huu ni uongo na upotoshaji kwani kwa taarifa nilizonazo toka ndani ya takukuru ni kuwa tokea uongozi mpya wa takukuru uingie madarakani mwaka 2006 hakuna ofisi zozote mpya za wilaya zilizofunguliwa na takukuru imefunga ofisi za wilaya zipatazo 20 kwa kisingizio cha kubana matumizi wakati bado wilaya hizo zinapigiwa hesabu kwenye budget.
Taarifa za kwamba ndani ya takukuru hali ni mbaya, morari ya wafanyakazi ipo chini sana na mgawanyiko wa viongozi ni mkubwa tayari zimeshafika ikulu siku nyingi.
Katika taarifa hiyo wanaongelea mafanikio waliyoyapata katika mapambano dhidi ya rushwa tangu 2006 na wametaja kuhusu uchunguzi wa manunuzi ya rada. Hivi kweli kama kesi moja tu ya rada inawachukua miaka zaidi ya minne kuimaliza, hawa takukuru wako serious? Kwa taarifa nilizonazo ni kwamba uchunguzi wa radar haufanywi na takukuru bali unafanywa na sfo ya uingereza, takukuru wao ni bendera fata upepo tu.
Hii ni sehemu ya takwimu za mafanikio ya mapambano dhidi ya ufisadi zilizoingizwa kwenye hotuba itakayosomwa kesho.
Takwimu za kesi za rushwa (2005-2008)
takwimu za: (a)kesi zilizopokelewa, (b)kesi ambazo uchunguzi wake ulikamilika, (c)watumishi waliochukuliwa hatua za kinidhamu, (d)kesi zilizofunguliwa mahakamani, (e)kesi zilizoendelea kuendeshwa katika mahakama mbalimbali, (f)kesi zilizoshinda na watuhumiwa kuhukumiwa vifungo mbalimbali
mwaka a b c d e f
2005 3,121 540 111 50 202 6
2006 6,320 1,688 209 71 205 18
2007 8,235 2,015 280 196 272 35
07/2008 3,840 615 36 80 288 24
ongezeko la utendaji kazi kwa asilimia
(a)taarifa ambazo zilipokelewa (b) kesi ambazo uchunguzi wake ulikamilika (c) watumishi waliochukuliwa hatua za kinidhamu (d) kesi zilizofunguliwa mahakamani (e) kesi zilizoendelea kuendeshwa katika mahakama mbalimbali (f) kesi zilizoshinda na watuhumiwa kuhukumiwa vifungo mbalimbali
mwaka a b c d e f
2005 - - - - - -
2006 102% 213% 88% 42% 2% 200%
2007 164% 273% 152% 292% 35% 483%
muheshimiwa rais jiridhishe kabla hujasoma hotuba hiyo bungeni ama sivyo utakuja kuumbuka mambo mengine yakifumuka.
mzee mwanakijiji na wengine humu forum,
kuna uwezekano wowote wa kuipata hii hotuba live?
Mimi umeniacha maana yake hotuba nzima atazungumzia utendaji wa TAKUKURU tu?? ama vipi ????
kama ni hivyo basi hamna la maana.
Mbona kuna mambo mengi ya kuhutubia, ukizingatia watanzania tuna katabia ka kuappretiate kiongozi mkubwa anapoongea.
Hotuba itakuwa JF live. I will take that serious mkuu Yebo Yebo!