Tanzania na Maendeleo ya Wajinga - What did Nyerere do?

Masanja na Mkandara:

Mnaanza kuleta side shows sasa. Hili suala la kukua kwa elimu katika miaka ya 70 na kuboronga baadaye alikutokea Tanzania peke yake. Limetokea katika nchi nyingi ukiondoa za South East Asia ambazo zimejitahidi kuvuka threshold ya umasikini. Hivyo sio suala la Ujamaa.

Bila haya mna-compare China na Urusi. China ina continuous civilization kwa zaidi ya miaka 3000. Waligundua baruti, karatasi, matumizi ya noti, alphabet na mambo mengi. Mambo mengi waliyofanya miaka 1000 iliyopita bado hayajafikiwa katika jamii yetu leo hii.

Mnazungumzia Urusi nchi inayotoa Brilliant Mathematicians kwa zaidi ya miaka mia moja tena kwenye taasisi zilizojengwa na wafalme na sio comrades.

Z10, wala siyo side shows. Ni kueleweshana tuu kwa sababu tuna mitizamo tofauti.


Unasema kwamba tatizo si ujamaa wala Tanzania pekee yake. What can partly explain that ni deep rooted corruption, mismanagement, na sheer stupidity of its leaders in these African countries. Kwa hiyo bado hujaonyesha Nyerere anahusika vipi na ujinga uliofanywa na unaozidi kufanywa na viongozi wetu wa leo. Ofcourse we can not continue glorifying the past..but truth is...Elimu yetu inashuka kwa sababu hakuna anayeijali. Mfano Nyerere alijenga viwanda vingi think of Mwatex, Sunguratex....name them..je..leo tumlaumu kwa hivi viwanda kufa kifo cha mende? Perhaps Yes. Je tumlaumu kwa hivi viwanda kuuzwa kwa bei ya kutupwa na kugeuzwa kuwa magodown? Iam not sure.

Nikuulize..ni kiongozi gani mwenye pesa TANZANIA..ambaye watoto wake wanasoma shule za serikali, ambako watoto wanategemea uji wa WFP saa nne?? Majority wako nje na international schools. Why? You guessed right. Infact viongozi wengi wa Africa..watoto wao..wanasoma nje kwa sababu elimu za nchini mwao hawazithamini. I will be pleasantly surprised kama mtoto wa Kikwete anasoma Mbuyuni primary school au Muhimbili primary school (na hizi ni far far better by all standards-kulinganisha na sehemu nyingine TANZANIA).

Mkuu mimi narudia tena: kwa logic yako na hali ilivyo sasa hivi..hata hiyo miaka 1000 inaweza ikapita tukawa bado tunapiga marktime hapa hapa tulipo kwenye umasikini. Ukisema maendeleo yetu tangu mwanzo hayakuwa sustainable..I could partly agree. But again I wonder what you would say kwa wakorea, na Asian Tigers waliopokea hiyo hela ya IMF..mbona baada ya mda ile hela imekuwa na positive impact? Ok tutasema sisi hatukuwa na wawekezaji wakubwa kutokana na politics za cold war. LAKINI MKUU huoni kwamba baada ya cold war..tumepata wawekezaji kwenye mali asili zetu ..lakini tukashindwa kulinda maslahi yetu kwenye meza ya mikataba? So what can we do if we cant even negotiate what is rightfully ours? Mbona leo tunashuhudia mataifa yanapokea hela hiyo hiyo ya IMF na WB na masharti magumu..lakini bado wanaitumia vyema..wanalipa deni na kusonga mbele?

Maendeleo ya aina yoyote hayana short cut. Ukiiba you have to be called your rightful name and be taken to your rightful place. Haiwezekani tu dream maendeleo..wakati akina Chenge ambao wameingiza nchi yetu kwenye hasara ya millions of dollars..wakiwa bungeni na kusema "yaliyomkuta ni mitihani ya Mungu". Na guess what? anawahutubia watunga sheria!

Mkuu, naamini kabisa..tatizo letu ni planning na vipaumbele katika maendeleo yetu. Nyerere has got nothing to with this mess (though ni mengi sikubaliani naye-ila kwa hili anastahili credit)

Sasa sijui baada ya miaka ishirini takwimu za wanaojua kusoma zikishuka zikawa 30% Sijui tutamlaumu Nyerere au Kikwete au atakayeingia-God knws.
 
Z10, wala siyo side shows. Ni kueleweshana tuu kwa sababu tuna mitizamo tofauti.


Unasema kwamba tatizo si ujamaa wala Tanzania pekee yake. What can partly explain that ni deep rooted corruption, mismanagement, na sheer stupidity of its leaders in these African countries. Kwa hiyo bado hujaonyesha Nyerere anahusika vipi na ujinga uliofanywa na unaozidi kufanywa na viongozi wetu wa leo. Ofcourse we can not continue glorifying the past..but truth is...Elimu yetu inashuka kwa sababu hakuna anayeijali. Mfano Nyerere alijenga viwanda vingi think of Mwatex, Sunguratex....name them..je..leo tumlaumu kwa hivi viwanda kufa kifo cha mende? Perhaps Yes. Je tumlaumu kwa hivi viwanda kuuzwa kwa bei ya kutupwa na kugeuzwa kuwa magodown? Iam not sure.

Nikuulize..ni kiongozi gani mwenye pesa TANZANIA..ambaye watoto wake wanasoma shule za serikali, ambako watoto wanategemea uji wa WFP saa nne?? Majority wako nje na international schools. Why? You guessed right. Infact viongozi wengi wa Africa..watoto wao..wanasoma nje kwa sababu elimu za nchini mwao hawazithamini. I will be pleasantly surprised kama mtoto wa Kikwete anasoma Mbuyuni primary school au Muhimbili primary school (na hizi ni far far better by all standards-kulinganisha na sehemu nyingine TANZANIA).

Mkuu mimi narudia tena: kwa logic yako na hali ilivyo sasa hivi..hata hiyo miaka 1000 inaweza ikapita tukawa bado tunapiga marktime hapa hapa tulipo kwenye umasikini. Ukisema maendeleo yetu tangu mwanzo hayakuwa sustainable..I could partly agree. But again I wonder what you would say kwa wakorea, na Asian Tigers waliopokea hiyo hela ya IMF..mbona baada ya mda ile hela imekuwa na positive impact? Ok tutasema sisi hatukuwa na wawekezaji wakubwa kutokana na politics za cold war. LAKINI MKUU huoni kwamba baada ya cold war..tumepata wawekezaji kwenye mali asili zetu ..lakini tukashindwa kulinda maslahi yetu kwenye meza ya mikataba? So what can we do if we cant even negotiate what is rightfully ours? Mbona leo tunashuhudia mataifa yanapokea hela hiyo hiyo ya IMF na WB na masharti magumu..lakini bado wanaitumia vyema..wanalipa deni na kusonga mbele?

Maendeleo ya aina yoyote hayana short cut. Ukiiba you have to be called your rightful name and be taken to your rightful place. Haiwezekani tu dream maendeleo..wakati akina Chenge ambao wameingiza nchi yetu kwenye hasara ya millions of dollars..wakiwa bungeni na kusema "yaliyomkuta ni mitihani ya Mungu". Na guess what? anawahutubia watunga sheria!

Mkuu, naamini kabisa..tatizo letu ni planning na vipaumbele katika maendeleo yetu. Nyerere has got nothing to with this mess (though ni mengi sikubaliani naye-ila kwa hili anastahili credit)

Sasa sijui baada ya miaka ishirini takwimu za wanaojua kusoma zikishuka zikawa 30% Sijui tutamlaumu Nyerere au Kikwete au atakayeingia-God knws.


Masanja:

Inawezekana tunaangalia chanzo cha matatizo yetu kutoka katika angle tofauti.

Kwa maoni yangu kuna tofauti kubwa kati ya uanzishaji na uendelezaji. Watanzania kuanzia wakati wa Nyerere, walikuwa ni-specialists katika kuanzisha new initiatives na lakini kwenye uendelezaji tumeboronga sana.

Viwanda vingi ulivyovitaja hapo juu, havikuwahi kufikisha 50% ya uzalishaji wako (na hapo nimependelea sana).

Mada ni elimu. Hivyo nitatoa mfano kwa kutumia elimu. Mwanakijiji, Mkandara na wazee vijana wengi hapa JF, walisoma kabla ya elimu ya UPE ambayo ndio iliyoinua literacy yetu kwa 90%. Hivyo wanasifia takwimu tu na sio process nzima ya UPE.

Watu ambao ni waalimu, academicians na waliopitia mfumo wa UPE wanaweza kukueleza matatizo ya mfumo wa UPE.

Shule nyingi za vijijini zilikuwa na walimu wachache sana. Kulikuwa na shule zina waalimu wawili tu kuanzia darasa la kwanza mpaka la saba. Sasa utapimaje literacy wakati quality ya shule kuitwa shule haipo. Wakati mwingine tuna-equity attendance na elimu.

Watoto wengi wanaoshindwa kwenda shule sasa wazazi wao walipitia UPE. Kama UPE ilikuwa na mafanikio, hawa wazazi wasingekubali watoto wao kukosa elimu.

Hakuna mzazi mwenye kujua umuhimu wa elimu ambaye anaachia serikali ifanye kazi zote.
 
Watoto wengi wanaoshindwa kwenda shule sasa wazazi wao walipitia UPE. Kama UPE ilikuwa na mafanikio, hawa wazazi wasingekubali watoto wao kukosa elimu.

Hizi statement hizi huwa naziogopa sana. Kweli inawezekana kunauhusiano kati ya upe na wazazi kutokupeleka watoto shule. Lakini tunahitaji upembuzi wa kina. Tubomoe hilo neno upe tupata uhusiano wake kati ya upe na kipato, upe na kazi, upe na makazi, tuelewe kati ya upe na nia halafu ndio tutao hatimisho.

Kwahiyo kusema kwamba wazazi wa upe wamekubali watoto wao kutopata elimu ni sentensi inayokimbia kutambua ukweli. Tuangalia, mahusiano ya nafasi ya shule na wanafunzi, tutizame ada na usajili wa wanafunzi. Katika kisomo changu cha miaka ya tisini, secondary nimesoma na watoto wengi wazazi wao waliokuwa na elimu ya upe na wengine walikuwa hawana elimu hiyo. Na walikuwa na juhudi kweli ya shule, na walifanya vizuri tu, Ingawaji wengine walishidwa kuing chuo kwasabu ada iligomba.


Hakuna mzazi mwenye kujua umuhimu wa elimu ambaye anaachia serikali ifanye kazi zote.

Hapa kunautata na sitaki kufanya blanket generalization. Wazazi wengi waliosoma ni kweli kwa namna moja ama nyingine hawaachi majukumu yote ya elimu kwa walimu, wengi wamekuwa wakilipa ada na kuwanunulia watoto wao vifaa vya shule, lakini wachache sana wanashiriki moja kwa moja katika kuhakikisha mwanafunzi anasoma vyema shule.

Wazazi wanapaswa kuwasaidia watoto kujifunza zaidi wakirudi nyumbani, kutizama madaftari yao na kufanya nao homework! wazazi wangapi wasomi wanafanya hilo. Kinachofanywa eitheir nikugombezwa ripoti ikija ama kupelekwa tuition. Wakati kwa usomi wao watoto wangeweza kufanya moja jumlisha moja na watoto kila jioni. Nadhani kukifanyika utafiti haitanishangaza kuona hakunatofauti katika kufaulu kati ya watoto wa wasomi na wasio wasomi.
 
Katika awamu zote hakuna inayojitahidi kuupiga vita ujinga kwa elimu kama hii ya JMK, si kwa kuwatayarisha watu kwa kusoma magezeti ya Ngurumo na Mzalendo kama enzi hizo, JMK anatimuwa mbio katika kuhakikisha kila mtoto mwenye uwezo wa kusoma anakwenda to a minimum of Secondary education kwa sasa, short term plan, ambayo ni highly successful na long term plan anahakikisha minimum ni angalau ka bachelors. Pongezi zote zimwendee JMK, wenye macho tunaona unachokifanya.
 
Zakumi,
Bila haya mna-compare China na Urusi. China ina continuous civilization kwa zaidi ya miaka 3000. Waligundua baruti, karatasi, matumizi ya noti, alphabet na mambo mengi. Mambo mengi waliyofanya miaka 1000 iliyopita bado hayajafikiwa katika jamii yetu leo hii.

Mnazungumzia Urusi nchi inayotoa Brilliant Mathematicians kwa zaidi ya miaka mia moja tena kwenye taasisi zilizojengwa na wafalme na sio comrades.

Mkuu labda tunatazama vitu viwili tofauti hapa..Swala tunalozungumzia ni ELIMU na maendeleo yake sio nani kavumbua kitu gani au hiyo continuous civilization..Hivi ktk akili yako unafikiria Tanzania hatukuwa na continuous civilization? Je, unafahamu kwamba toka karne ya kwanza Tanzania (Zenjbari) tulikuwa tukifanya biashara na nchi za Asia na kama tulifanya tulikuwa tukitumia ELIMU gani..Kati ya University za kwanza dunia tuna, Afrika tunayo Timbuktu huko Chad, nambie record ya wasomi nchi hiyo?..
Mkuu sio swala la nani kaanza kitu gani isipokuwa nani amefanikiwa, Marekani ni Taifa jipya kabisa duniani..iweje wao wawe mbele ya nchi kama Portugal, Spain na Greece nchi ambazo wamekuwa na continuous civilization from the begin of time..

Na kama ingekuwa hivyo basi Iraq na Iran zingeshika nafasi ya kwanza duniani kwa kuendeleza ELIMU maanake mambo mengi sana yamevumbuliwa na hawa watu na ukweli ni kwamba nchi kama China na Urusi hawakuvumbua kitu isipokuwa zimeendeleza tu elimu hiyo..
Nitarudia kusema hivi Urusi na China kabla ya kifo cha cold war walikuwa nyuma kimaendeleo pamoja na kwamba walikuwa na continuous civilization Wareno, Wayunani na mataifa mengine ambayo yako nyuma..Na kibaya zaidi ni hii imani kwamba maendeleo hutokana na civilization ya kusadikika..mkuu wangu civiliation haikupi wasaa wa kutafuta elimu dunia isipokuwa ni mipango ya tawala inayohusika..Mwaka 1975 tulipokuwa tukifuta Ujinga haikuwa tamaduni yetu wala ya Mchina..Ni kuelewa mahitaji ya wasomi ktk taifa unalotaka Kulijenga na sii elimu ya dini au siasa...
1 -Wakati China ilikuwa na daktari mmoja kutibia wananchi 1000 mwaka 1970 - nguvu zote za elimu ilikuwa masomo ya siasa, leo hii wamefikia hatua ya Daktari mmoja kwa watu 100..haya ndio maendeleo nayozungumzia hata kama dawa za matibabu na vifaa vya tiba vimetengenezwa -Uswiss, Uingereza na Gernmany..sina haja ya kufuatilia hilo..
2 -Wakati Tanzania ilikuwa na Daktari mmoja kutibia wananchi 1000 mwaka 1970 (tukifundisha siasa za Ujamaa), leo hii pamoja na mageuzi yote bado daktari mmoja anatibia wananchi 1000..wakati wote madawa ya matibabu na vifaa vya tiba vimetengenezwa - Uswiss, Uingereza na Gernmany)..Tena basi kwa kuongezea tu leo hii daktari, dawa na vifaa ni feki toka Open University na CHINA..
 
Katika awamu zote hakuna inayojitahidi kuupiga vita ujinga kwa elimu kama hii ya JMK, si kwa kuwatayarisha watu kwa kusoma magezeti ya Ngurumo na Mzalendo kama enzi hizo, JMK anatimuwa mbio katika kuhakikisha kila mtoto mwenye uwezo wa kusoma anakwenda to a minimum of Secondary education kwa sasa, short term plan, ambayo ni highly successful na long term plan anahakikisha minimum ni angalau ka bachelors. Pongezi zote zimwendee JMK, wenye macho tunaona unachokifanya.

kunaukweli ndani yake, lakini mkazo uwepo katika kutayarisha walimu pia. Maana juhudi za sasa zipo zaidi kwenye majengo kaka! Majengo bila walimu bora haina faida, zaidi ya kutayarisha mabomu yatakayolipuka hapo baadaye!
 
kunaukweli ndani yake, lakini mkazo uwepo katika kutayarisha walimu pia. Maana juhudi za sasa zipo zaidi kwenye majengo kaka! Majengo bila walimu bora haina faida, zaidi ya kutayarisha mabomu yatakayolipuka hapo baadaye!

La walimu hilo ndilo linafanywa sasa kwa nguvu sote, na maabara za kisasa zinakuja teletele toka Japan, Jee unajuwa kuwa toka JMK kaingia standard ya masomo imeongezeka, kuliko awamu zote,? kama unabisha muulize mwanao au mdogo wako anaesoma ya ama primary au secondary na utafaham nasema nini.

Wenye wivu na chuki za kibinafsi kwa JMK wajinyonge!
 
Petu Hapa,
Mkuu, hii habari ya Dar Es salaam haina ukweli zaidi ya kufikiria kuna maendeleo ama jitihada kubwa zimefanyika...
Ukweli unazungumzwa na Takwimu... hakuna zaidi..tuliyoyasoma huko nyuma ni hali halisi ya elimu nchini hakuna zaidi..
Tukumbuke kwamba Nyerere aliichukua nchi hii tukiwa na wasomi wangapi?...jitihada alozifanya hadi kufikia nchi inayohesabika duniani ktk kukuza elimu sii haba hata kidogo na kama nilivyosema huwezi kupima kiwango cha elimu nchini kwa majengo isipokuwa wahitimu wake. Leo hii tunakabiriwa na tatizo la baby boomers, wazee wengi waliosoma wakati wa mwalimu wanalazimika kubakia kazini hadi miaka 80 kwa sababu ya upungufu wa wataalam..na ndio pekee wanaifanya kazi hadi sasa hivi kwa imani kubwa ya wananchi.. Wasomi wetu wengi leo hii ni Kabuntas, fedha inanunua cheti cha elimu na ndio viongozi tuliokuwa nao leo hii wakiongoza taaluma ktk mashirika makubwa...
Ukiona nchi inaanza kuagiza wataalam kwa sababu ya LUGHA (kiingereza) basi bila shaka bado hatujawa na elimu bora ya kuelewa kwa nini 2+2=4..It doesn'r matter utajenga majengo mangapi!..
Hotel bila Wapangaji is a lost business!
 
Petu Hapa,
Mkuu, hii habari ya Dar Es salaam haina ukweli zaidi ya kufikiria kuna maendeleo ama jitihada kubwa zimefanyika...
Ukweli unazungumzwa na Takwimu... hakuna zaidi..Tukumbuke kwamba Nyerere aliichukua nchi hii tukiwa na wasomi wangapi?...jitihada alozifanya hadi kufikia nchi inayohesabika duniani ktk kukuza elimu sii haba hata kidogo na kama nilivyosema huwezi kupima kiwango cha elimu nchini kwa majengo isipokuwa wahitimu wake. Leo hii tunakabiriwa na tatizo la babyboomer, wazee wengi waliosoma wakati wa mwalimu wanalazimika kubakia kazini hadi miaka 80 kwa sababu ya upungufu wa wataalam.. wasomi wetu wengi kabuntas, fedha inanunua cheti cha elimu na ndio viongozi tuliokuwa nao leo hii wakiongoza mashirika makubwa...
Ukiona nchi inaanza kuagiza wataalam kwa sababu ya LUGHA (kiingereza) basi bila shaka bado hatujawa na elimu bora ya kuelewa kwa nini 2+2=4..It doesn'r matter utajenga majengo mangapi!..
Hotel bila Wapangaji is a lost business!

Mkandara, i agree with you for 98 percent! Swala langu ni kwamba! Ni kweli hapo kati msukumo hata wa kujenga shule haukuwepo. Leo hii kunamajengo! Hiyo ni tofauti! Hatuwezi kusema hakuna majengo wakati majengo yapo huo utakuwa ni kuukana ukweli. Lakini pia hatuwezi kusema majengo yanaleta maendeleo, huu ni uwendawazimu, ambao serikali umekuwa nao. Tunachopaswa kujiuliza athari za kuwa na majengo bila walimu bora ni nini!? Ndio vijana wataenda shule, wataacha kulima na kufuga! Lakini ukweli ni kwamba Elimu wanayoipata sio bora, na pia wanakosa elimu ya kuwa wafugaji ama wakulima - watayumbayumba hapo kati kama mabua ya mahindi yanavyosukumwa na upepo.

Leo, mfumo wa elimu unawaingiza na kuwadanganya vijana juu ya mfumo wa elimu na mafanikio yao kwamba wanaweza kupata kazi kama wakisoma, kazi ambazo hazipo! Kumbuka hawawatoto wamekaa watakaa shule miaka saba, na mingine sita juu kwa watakaofanikiwa kuendelea, hapo tujiulize ni kitu gani tunajenga!. Hata kama hawatapata elimu nzuri, hawa vijana wanakuwasocialized kwa namna moja ama nyingine! Je tunajua wanachojifunza! wanapohitimu wanahitimu na nini?

Kitu ambacho ni muhimu kwangu, historia haisimami kujiandika, iwe mbaya ama nzuri yanyewe inajiandika na madhara yake hayaepukiki. Tunaweza tukamsifia nyerere jinsi tunavyoweza, tunaweza kufanya upembuzi na kuonyesha mapungufu ya viongozi waliofuata jinsi tunavyoweza. Lakini kama upembuzi wetu hautoi suluhu tutaendelea kudidimia. Kama tunashidwa kuelewa na kukubali kwamba ingawaji tumejenga mashule na elimu inashuka, na kujiuliza maana yake nini takuwa tunamatatizo ya fikira. Tumefika mahala ambapo tukubali kunamushikeli katika mfumo wa elimu sasa! watakotaka kumlaumi nyerere sawa, watakotaka kumlaumi kikwete sawa! lawama zikiisha tujibu swala, leo hii ambapo tunasema tunamaendeleo mbona elimu imeshuka! Wakati nchi zilizoendele kunauhusiano mkubwa kati ya maendeleo na elimu!

Elimu inapaswa kufikiriwa upya! malengo mapya! sheria mpya! toa muunganiko kati ya kazi na elimu! pesa za kujenga elimu bora lazima zitafutwe! serikali inapaswa kubeba hili jukumu kwa kiasi fulani! Uchochozi wa fikira lazima upewe kipaumbele! Na tunapoanzia ni lazima tupate walimu bora! Na ungozi wa kikwete ulibugi stepu kwa kuanza na majengo! lakini hali ndio hiyo, tunaendaje mbele?
 
Last edited:
La walimu hilo ndilo linafanywa sasa kwa nguvu sote, na maabara za kisasa zinakuja teletele toka Japan, Jee unajuwa kuwa toka JMK kaingia standard ya masomo imeongezeka, kuliko awamu zote,? kama unabisha muulize mwanao au mdogo wako anaesoma ya ama primary au secondary na utafaham nasema nini.

Wenye wivu na chuki za kibinafsi kwa JMK wajinyonge!

Kaka! Tunaongelea mambo ya elimu! unaongelea mambo ya wivu tena!

Hebu leta hizo statistics unazozisema! pia ufanye uchambuzi wa shule binafsi na zile za serikali zilizokuwepo. Pima mafanikio yao kielimu hala ulinganishwe na hizo shule za lowassa, ndio utaona tofauti!

Binamu yangu amekuwa mwalimu sasa baada ya kumaliza forms six na kuchukua kozi fupi, nilipokutana nae, aliniambia "sikuwahi kuwaza kuwa mwalimu, lakini leo nafundisha! Napata wasiwasi na elimu nayoitoa lakini hakuna aliyenawasiwasi na mimi! Wananiona mwalimu bora kabisa! Nafsi inanisuta, nitafutia shule nisome maana napoteza taifa hili kabisa"
 
Dar Es Salaam,
Mkuu wangu watokeo ya masomo kwa miaka hii mitatu ya Kikwete yameshuka kiwango (percentage) pamoja na kwamba kumekuwa na wanafunzi wengi waliojiandikisha shule kuliko wakati wowote ule..soma report ya matokeo pamoja na kwamba hakuna wakati mitihani imeibiwa kuliko kama miaka hii iliyopita. Watoto walikuwa wakitumiana majibu ya mitihani kwa SMS..
Sijawahi kuona hii..
 
Zakumi,


Mkuu labda tunatazama vitu viwili tofauti hapa..Swala tunalozungumzia ni ELIMU na maendeleo yake sio nani kavumbua kitu gani au hiyo continuous civilization..Hivi ktk akili yako unafikiria Tanzania hatukuwa na continuous civilization? Je, unafahamu kwamba toka karne ya kwanza Tanzania (Zenjbari) tulikuwa tukifanya biashara na nchi za Asia na kama tulifanya tulikuwa tukitumia ELIMU gani..Kati ya University za kwanza dunia tuna, Afrika tunayo Timbuktu huko Chad, nambie record ya wasomi nchi hiyo?..
Mkuu sio swala la nani kaanza kitu gani isipokuwa nani amefanikiwa, Marekani ni Taifa jipya kabisa duniani..iweje wao wawe mbele ya nchi kama Portugal, Spain na Greece nchi ambazo wamekuwa na continuous civilization from the begin of time..

Na kama ingekuwa hivyo basi Iraq na Iran zingeshika nafasi ya kwanza duniani kwa kuendeleza ELIMU maanake mambo mengi sana yamevumbuliwa na hawa watu na ukweli ni kwamba nchi kama China na Urusi hawakuvumbua kitu isipokuwa zimeendeleza tu elimu hiyo..
Nitarudia kusema hivi Urusi na China kabla ya kifo cha cold war walikuwa nyuma kimaendeleo pamoja na kwamba walikuwa na continuous civilization Wareno, Wayunani na mataifa mengine ambayo yako nyuma..Na kibaya zaidi ni hii imani kwamba maendeleo hutokana na civilization ya kusadikika..mkuu wangu civiliation haikupi wasaa wa kutafuta elimu dunia isipokuwa ni mipango ya tawala inayohusika..Mwaka 1975 tulipokuwa tukifuta Ujinga haikuwa tamaduni yetu wala ya Mchina..Ni kuelewa mahitaji ya wasomi ktk taifa unalotaka Kulijenga na sii elimu ya dini au siasa...
1 -Wakati China ilikuwa na daktari mmoja kutibia wananchi 1000 mwaka 1970 - nguvu zote za elimu ilikuwa masomo ya siasa, leo hii wamefikia hatua ya Daktari mmoja kwa watu 100..haya ndio maendeleo nayozungumzia hata kama dawa za matibabu na vifaa vya tiba vimetengenezwa -Uswiss, Uingereza na Gernmany..sina haja ya kufuatilia hilo..
2 -Wakati Tanzania ilikuwa na Daktari mmoja kutibia wananchi 1000 mwaka 1970 (tukifundisha siasa za Ujamaa), leo hii pamoja na mageuzi yote bado daktari mmoja anatibia wananchi 1000..wakati wote madawa ya matibabu na vifaa vya tiba vimetengenezwa - Uswiss, Uingereza na Gernmany)..Tena basi kwa kuongezea tu leo hii daktari, dawa na vifaa ni feki toka Open University na CHINA..

Sasa ule mjadala wa pride umeshaanza. Nilitumia neno continuous civilization. Katika Africa ni Ethiopia pekee yake wangeweza kudai.

Ngoja nikupe kipande cha China na baadaye utafakari kwanini China ilibaki nyuma.

China is the most dramatic example of having technological knowledge but failing to sustain growth of income per head. The chinese learned to cast iron a millennium and a half before Europeans. The had iron suspension bridges, which Europeans would imitate. Chinese agriculture was a marvel of high-yield rice fields, with hydraulic engineering performing the irrigation and draining of fields.

Chinese agriculture used an iron plow, the seed drill, weeding rakes, the deep-tooth harrow, many different types of fertilizer, and chemical and biological pest control.

By the time of the Ming dynasty (1368-1644), China had gunpowder, paddle wheel, the wheelbarrow, the spinning wheel, waterwheel, printing, paper (Even for critical breakthough of toilet paper), the compass, and triple-masted ocean-going ships.

However the Chinese choose not to compete in the world economy with their advanced technology, and they closed their borders. So China remained stagnant through 19th century, when Westerns using these some of the same technologies were able to impose their will on China.

Kwa kujibu hoja zako. China ilikuwa stagnant tena kwa kuchagua. Kama kuanzia Ming Dynasty, waChina wangehamua ku-compete uwezekano mkubwa ni kuwa America ingevumbuliwa na waChina na sio Europeans.
 
Hizi statement hizi huwa naziogopa sana. Kweli inawezekana kunauhusiano kati ya upe na wazazi kutokupeleka watoto shule. Lakini tunahitaji upembuzi wa kina. Tubomoe hilo neno upe tupata uhusiano wake kati ya upe na kipato, upe na kazi, upe na makazi, tuelewe kati ya upe na nia halafu ndio tutao hatimisho.

Kwahiyo kusema kwamba wazazi wa upe wamekubali watoto wao kutopata elimu ni sentensi inayokimbia kutambua ukweli. Tuangalia, mahusiano ya nafasi ya shule na wanafunzi, tutizame ada na usajili wa wanafunzi. Katika kisomo changu cha miaka ya tisini, secondary nimesoma na watoto wengi wazazi wao waliokuwa na elimu ya upe na wengine walikuwa hawana elimu hiyo. Na walikuwa na juhudi kweli ya shule, na walifanya vizuri tu, Ingawaji wengine walishidwa kuing chuo kwasabu ada iligomba.




Hapa kunautata na sitaki kufanya blanket generalization. Wazazi wengi waliosoma ni kweli kwa namna moja ama nyingine hawaachi majukumu yote ya elimu kwa walimu, wengi wamekuwa wakilipa ada na kuwanunulia watoto wao vifaa vya shule, lakini wachache sana wanashiriki moja kwa moja katika kuhakikisha mwanafunzi anasoma vyema shule.

Wazazi wanapaswa kuwasaidia watoto kujifunza zaidi wakirudi nyumbani, kutizama madaftari yao na kufanya nao homework! wazazi wangapi wasomi wanafanya hilo. Kinachofanywa eitheir nikugombezwa ripoti ikija ama kupelekwa tuition. Wakati kwa usomi wao watoto wangeweza kufanya moja jumlisha moja na watoto kila jioni. Nadhani kukifanyika utafiti haitanishangaza kuona hakunatofauti katika kufaulu kati ya watoto wa wasomi na wasio wasomi.

PH:

Nitarudi. Usihesabu mayai kama vifaranga au kuku. Mafanikio katika mipango ya elimu yanapimwa baada ya miaka kama 20 hivi.

Katikati ya miaka ya 70, kila kijiji kilijenga shule na kuweza kukuza literacy rate mpaka 90%. Leo hii kila kijiji na kila kona ina shule kama ilivyokuwa 1979, lakini literacy ni 69%.

Hivyo hupo uwezekano kuwa shule zipo lakini baadhi ya watu hawataki kwenda shule. Na hii inatokana na kuwa programs za mwanzo hazikuwa na incentives zozote kwa wahusika.
 
Zakumi,
Mkuu sasa soma Mapinduzi ya kiuchumi ya China utaona kwamba sio swala la ku compete au utamaduni wa nchi husika..
Nimekwambia ingekuwa hivyo Iran, Iraq, Warumi, Wayunani, Waarabu na Waspanish wangekuwa wa kwanza duniani kwani sio tu walikuwa wavumbuzi wa elimu hii isipokuwa pia walikuwa waki compete ktk open market pasipo kufuata Ujamaa!..
China ktk mageuzi yao ya kiuchumi waligundua ni wapi wanapokwama na wakaunda sera za kuboresha Kilimo, elimu na viwanda..Kabla ya hapo walikuwa chini ranked under 50 pamoja na kuwepo vitu vyote hivyo.. na hizo ranks hazihusiani na kushindana na nchi jirani au nyingineyo isipokuwa ni maendeleo ya elimu ndani ya nchi moja..
Tanzania tulifikia hatua nzuri ya kufuta Ujinga kwa asilimia kubwa sio kwa kulinganisha na Kenya au Marekani ni Tanzania na watu wake...
 
Zakumi,
Mkuu sasa soma Mapinduzi ya kiuchumi ya China utaona kwamba sio swala la ku compete au utamaduni wa nchi husika..
Nimekwambia ingekuwa hivyo Iran, Iraq, Warumi, Wayunani, Waarabu na Waspanish wangekuwa wa kwanza duniani kwani sio tu walikuwa wavumbuzi wa elimu hii isipokuwa pia walikuwa waki compete ktk open market pasipo kufuata Ujamaa!..
China ktk mageuzi yao ya kiuchumi waligundua ni wapi wanapokwama na wakaunda sera za kuboresha Kilimo, elimu na viwanda..Kabla ya hapo walikuwa chini ranked under 50 pamoja na kuwepo vitu vyote hivyo.. na hizo ranks hazihusiani na kushindana na nchi jirani au nyingineyo isipokuwa ni maendeleo ya elimu ndani ya nchi moja..
Tanzania tulifikia hatua nzuri ya kufuta Ujinga kwa asilimia kubwa sio kwa kulinganisha na Kenya au Marekani ni Tanzania na watu wake...


Mkandara:

China imejiunga na World Bank na IMF 1980. Hivyo vitu vingi walivifanya wanafanya wenyewe kwa kujitegemea.

1980 Tanzania ilikuwa imejaza mabakuri ya kuomba sadaka kila kona. Na bado bila aibu unalinganisha China na Tanzania.
 
Utanisubiri wapi Tarime. Huko watu wanapigana mishale kama mila na jadi zimeaanza jana na bado mnataka literacy iwe 100%.

sikuelewi! Kwa tarime nimekupata lakini maswala ya literacy na mila na jadi, umeniacha!
 
sikuelewi! Kwa tarime nimekupata lakini maswala ya literacy na mila na jadi, umeniacha!

Niliona posti yako kwenye migogoro ya wilaya ya Tarime. Na kwa bahati niliwahi kuishi huko. Jinsi mila na jadi zilivyokuwa katika wilaya hiyo, kulikuwa hakuna uwezekano wa kufikisha literacy rate zaidi ya 50%.

Stumbling blocks ni nyingi sana.
 
PH:

Nitarudi. Usihesabu mayai kama vifaranga au kuku. Mafanikio katika mipango ya elimu yanapimwa baada ya miaka kama 20 hivi.

Katikati ya miaka ya 70, kila kijiji kilijenga shule na kuweza kukuza literacy rate mpaka 90%. Leo hii kila kijiji na kila kona ina shule kama ilivyokuwa 1979, lakini literacy ni 69%.

Hivyo hupo uwezekano kuwa shule zipo lakini baadhi ya watu hawataki kwenda shule. Na hii inatokana na kuwa programs za mwanzo hazikuwa na incentives zozote kwa wahusika.

Naam ni kweli ila tungewezaje kupima mafanikio ya mipango ya elimu ya miaka 70 baada ya miaka 20, yaani mnamo mwako 90, wakati kwenye miaka ya 80 mliivuruga mipango hiyo ya miaka ya 70 kwa kuleta SAPs? Utapimaje mafanikio ya mpango uliovurugwa kwa makusudi kabisa? Hivi kwa nini kila siku hutaki kusikiliza anachokisema Mwalimu hapa chini?


I was in Washington last year. At the World Bank the first question they asked me was `how did you fail?' I responded that we took over a country with 85 per cent of its adult population illiterate. The British ruled us for 43 years. When they left, there were 2 trained engineers and 12 doctors. This is the country we inherited. When I stepped down there was 91-per-cent literacy and nearly every child was in school. We trained thousands of engineers and doctors and teachers. In 1988 Tanzania's per-capita income was $280. Now, in 1998, it is $140. So I asked the World Bank people what went wrong. Because for the last ten years Tanzania has been signing on the dotted line and doing everything the IMF and the World Bank wanted. Enrolment in school has plummeted to 63 per cent and conditions in health and other social services have deteriorated. I asked them again: `what went wrong?' These people just sat there looking at me. Then they asked what could they do? I told them have some humility. Humility - they are so arrogant!
 
Back
Top Bottom