babalao 2
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 5,398
- 3,244
Hii imekaaje wtz wenzangu
Kama viongozi wakuu tuliowapa dhamana ya kutuongoza wanashindwa kujua ni kwa nini nchi yetu inaendelea kuwa maskin katika dunia ya leo na ni kweli hata sisi hatujui au tunajua ila tumeridhika na hali ilivyo?
Je nini kisababishi cha hayo yote?
Je ni kweli ya kuwa tatizo ni
Rais kutokusimama kwenye nafasi yake.
Wasaidizi wa rais kushindwa kumshauri boss wao vizuri
Chama kushindwa kutoa watu safi na wazalendo kwa nchi yao.
Wataalamu wa nyanja mbalimbali kukosa utaalamu wa kutosha.
Watanzania kwa ujumla tu wavivu wa kufanya kazi kwa bidii na ubora au
Ni katiba ndiyo imetufikisha hapa na kushindwa kujua ni kwa nini sisi tumebaki masikini wa kutupwa.
Tusisahau kwamba MUNGU AMETUPA RASILIMALI KARIBU SOTE ZINAZOHITAJIKA. TATIZO NININI JAMANI.
MAONI TAFADHALI.
Kama viongozi wakuu tuliowapa dhamana ya kutuongoza wanashindwa kujua ni kwa nini nchi yetu inaendelea kuwa maskin katika dunia ya leo na ni kweli hata sisi hatujui au tunajua ila tumeridhika na hali ilivyo?
Je nini kisababishi cha hayo yote?
Je ni kweli ya kuwa tatizo ni
Rais kutokusimama kwenye nafasi yake.
Wasaidizi wa rais kushindwa kumshauri boss wao vizuri
Chama kushindwa kutoa watu safi na wazalendo kwa nchi yao.
Wataalamu wa nyanja mbalimbali kukosa utaalamu wa kutosha.
Watanzania kwa ujumla tu wavivu wa kufanya kazi kwa bidii na ubora au
Ni katiba ndiyo imetufikisha hapa na kushindwa kujua ni kwa nini sisi tumebaki masikini wa kutupwa.
Tusisahau kwamba MUNGU AMETUPA RASILIMALI KARIBU SOTE ZINAZOHITAJIKA. TATIZO NININI JAMANI.
MAONI TAFADHALI.