Wimbi la kufichua wabadhirifu na matumizi mabaya ya madaraka itaiwezesha kuokoa rasilimali za nchi na hivyo kuiokoa Tanzania?WanaJF tulio na nafasi kubwa serikalini tushirikiane kufichua maovu ili kuokoa kuvujwa kwa rasilimali za nchi yetu.Ebu tujadiliane juu ya hili kwani ni muhimu kwa maendeleo ya nchi yetu.