Tanzania kucheza na Chad Kombe la Dunia 2014

Limbani

JF-Expert Member
Apr 24, 2008
1,438
442
Tanzania itaanza na Chad kwenye michuano ya awali ya Kombe la Afrika 2014 na kama itashinda itakuwa kundi C pamoja na Ivory Coast, Morocco na Gambia.
Group A: South Africa, Botswana, Central African Republic, Somalia or Ethiopia
Group B: Tunisia, Cape Verde Islands, Sierra Leone, Equatorial Guinea or Madagascar
Group C: Cote d'Ivoire, Morocco, Gambia, Chad or Tanzania
Group D: Ghana, Zambia, Sudan, Lesotho or Burundi
Group E: Burkina Faso, Gabon, Niger, Sao Tome e Principe or Congo
Group F: Nigeria, Malawi, Seychelles or Kenya, Djibouti or Namibia
Group G: Egypt, Guinea, Zimbabwe, Comoros or Mozambique
Group H: Algeria, Mali, Benin, Eritrea or Rwanda
Group I: Cameroon, Libya, Guinea-Bissau or Togo, Swaziland or Congo DR
Group J: Senegal, Uganda, Angola, Mauritius or Liberia
 
Kwenye kundi C timu ngumu ni Ivory Coast, hawa Morocco na Gambia wanaweza fungika
 
Jamaa wametumia vigezo gani kupanga timu tatu za kwanza halafu ya nne timu mbili zigombanie?
 
Tanzania itaanza na Chad kwenye michuano ya awali ya Kombe la Afrika 2014 na kama itashinda itakuwa kundi C pamoja na Ivory Coast, Morocco na Gambia. <br />
<b>Group A: </b>South Africa, Botswana, Central African Republic, Somalia or Ethiopia<br />
<b>Group B:</b> Tunisia, Cape Verde Islands, Sierra Leone, Equatorial Guinea or Madagascar<br />
<b>Group C: </b>Cote d'Ivoire, Morocco, Gambia, Chad or Tanzania<br />
<b>Group D:</b> Ghana, Zambia, Sudan, Lesotho or Burundi<br />
<b>Group E: </b>Burkina Faso, Gabon, Niger, Sao Tome e Principe or Congo<br />
<b>Group F:</b> Nigeria, Malawi, Seychelles or Kenya, Djibouti or Namibia<br />
<b>Group G:</b> Egypt, Guinea, Zimbabwe, Comoros or Mozambique<br />
<b>Group H: </b>Algeria, Mali, Benin, Eritrea or Rwanda<br />
<b>Group I: </b>Cameroon, Libya, Guinea-Bissau or Togo, Swaziland or Congo DR<br />
<b>Group J:</b> Senegal, Uganda, Angola, Mauritius or Liberia
<br />
<br />

Ndugu yangu kichwa cha habari cha topic yako kinapaswa kuwa: TANZANIA YATUPWA NJE KOMBE LA DUNIA KABLA YA MECHI!
 
Jamaa wametumia vigezo gani kupanga timu tatu za kwanza halafu ya nne timu mbili zigombanie?

Wameangalia "ranks" za timu kwenye chati ya dunia, timu 24 za mwisho Afrika, Tanzania ikiwemo zinacheza mechi za awali za mtoano (Tanzania vs Chad) na anaeshinda ndio anaingia kwenye makundi
 
Tanzania itaanza na Chad kwenye michuano ya awali ya Kombe la Afrika 2014 na kama itashinda itakuwa kundi C pamoja na Ivory Coast, Morocco na Gambia.
Group A: South Africa, Botswana, Central African Republic, Somalia or Ethiopia
Group B: Tunisia, Cape Verde Islands, Sierra Leone, Equatorial Guinea or Madagascar
Group C: Cote d'Ivoire, Morocco, Gambia, Chad or Tanzania
Group D: Ghana, Zambia, Sudan, Lesotho or Burundi
Group E: Burkina Faso, Gabon, Niger, Sao Tome e Principe or Congo
Group F: Nigeria, Malawi, Seychelles or Kenya, Djibouti or Namibia
Group G: Egypt, Guinea, Zimbabwe, Comoros or Mozambique
Group H: Algeria, Mali, Benin, Eritrea or Rwanda
Group I: Cameroon, Libya, Guinea-Bissau or Togo, Swaziland or Congo DR
Group J: Senegal, Uganda, Angola, Mauritius or Liberia

Na timu zinafuzu kivipi kwenda kombe la dunia? Maana tuna nafasi 5 tu
 
Na timu zinafuzu kivipi kwenda kombe la dunia? Maana tuna nafasi 5 tu

Kila group anatoka mshindi wa kwanza hivyo jumla kutakuwa na timu 10. Zitacheza raundi ya 3 timu mbili mbili yaani mshindi A na mshindi B (home and away) anayeshinda anaenda Brazil 2014.

Third round (Oct 11-15, Nov 15-19 2013)
A draw will split 10 group winners into five two-leg ties and aggregate
winners qualify for 2014 World Cup in Brazil
 
  • Thanks
Reactions: CPU
Kila group anatoka mshindi wa kwanza hivyo jumla kutakuwa na timu 10. Zitacheza raundi ya 3 timu mbili mbili yaani mshindi A na mshindi B (home and away) anayeshinda anaenda Brazil 2014.

Third round (Oct 11-15, Nov 15-19 2013)
A draw will split 10 group winners into five two-leg ties and aggregate
winners qualify for 2014 World Cup in Brazil

Thanx, ila sidhani kama hapo kwenye red itakuwa hivyo. Nadhani utaratibu bado utaratibu wa kupambanisha group leaders bado haujawa wazi.
Kwa maana hiyo, let me choose group winners by guess
Group A: South Africa
Group B: Tunisia
Group C: Cote D'Ivore
Group D: Ghana
Group E: Gabon
Group F: Nigeria
Group G: Egypt (Mmmmh Guinea naona wataiduwaza Egypt)
Group H: Mali (Sidhani kwa kiwango cha sasa Algeria watafurukuta)
Group I: Cameroun (Mmmmmh, hawa nao wamekuwa mbuzi siku hizi, wanashinda kwa mbeleko)
Group J: Senegal (Kama wakikaza msuli)
 
Thanx, ila sidhani kama hapo kwenye red itakuwa hivyo. Nadhani utaratibu bado utaratibu wa kupambanisha group leaders bado haujawa wazi.
Kwa maana hiyo, let me choose group winners by guess
Group A: South Africa
Group B: Tunisia
Group C: Cote D'Ivore
Group D: Ghana
Group E: Gabon
Group F: Nigeria
Group G: Egypt (Mmmmh Guinea naona wataiduwaza Egypt)
Group H: Mali (Sidhani kwa kiwango cha sasa Algeria watafurukuta)
Group I: Cameroun (Mmmmmh, hawa nao wamekuwa mbuzi siku hizi, wanashinda kwa mbeleko)
Group J: Senegal (Kama wakikaza msuli)

Ofcourse nilikuwa natolea mfano, lakini timu 10 zikiishaingia raundi ya 3 watafanya tena draw randomly!! Kwa nini Group C usiweke Tanzania?
 
Ofcourse nilikuwa natolea mfano, lakini timu 10 zikiishaingia raundi ya 3 watafanya tena draw randomly!! Kwa nini Group C usiweke Tanzania?

Mkuu
Ukiangalia historia ya Qualifying games ya Ivory Coast utaelewa namaanisha nini. Hawa tembo hawanaga masihara hata kidogo kwenye kufuzu, huwa wanafuzu hata kabla ya mechi kuisha, labda itokee miujiza tu huko mbeleni ndo unaweza kui-consider Tanzania.
Lakin sioni hata kidogo nafasi ya kuifikiria Tanzania . . .
 
Back
Top Bottom