Yaliyowazi mpelekee mfalme ayatekelezeMnakaa kjadili idara znazoendeshwa kw siri wkt yakiyo wazi yanawasubiri, Na yamewashinda,? Yan barabara hazptik,zahanat hakna,wanafnz wana kaa chn af mnakaa kjadili usalama wa taifa Na wengne mnatoa hoja za vjiwe vya kahawa tyu...!!!!
Hivi kazi ya kushika binduk inatakiwa uwe. A phd?Polisi siku hizi kaka wanachukuliwa hadi form 4 leaver 2 ht km ana div 4 pnts 32 anaenda depo unategemea nn?
Hao RAIA wema ushawah jua ni watu gani? Ok hao machiz u nadhan hawapo saiv? Fanya fyongo utajuaNdugu wana bodi,wakati nikiwa mdogo enzi za mwalimu kuliwahi kuwa na uvumi kuwa Tanzania ilikuwa na idara nzuri sana ya TISS hata ikawa nchi ya Tatu kwa upelelezi duniani.
Kwa upande mmoja naweza kuona ukweli wa hili nikijaribu kulinganisha TISS ya enzi za Nyerere na TISS ya ezi hizi,nakumbuka wapelelezi wa enzi hizo wengine waliweza hata kuwa kama vichaa kwa kuvaa nguo chafu ili waweze kukamilisha upelelezi na wakafanikiwa hata kuwakamata makaburu waliokuwa wanakuja nchini kutoka Afrika kusini kwa njia za pori,lakini siku hizi wasomali wanaingia nchini na kutoka wachache ndo kuwa wanakamatwa tena na polisi kwa kupewa taarifa na raia wema na sio TISS.
Naomba michango yenu wana bodi kuhusu jambo hili ukilinganisha na haya matukio yanayotokea kwa sasa.
Aiseeeeee..Enzi hizo mazuzu walikuwa wengi wengi,hiyo tv tu alikuwa na sheikh yahaya na Nyerere! halafu wakawa wanawatabiria wenzao mambo ya ulimwengu kumbe wao wameona kupitia CNN,BBC!midingi ya wakati eti mtu yuko chumbani na wife anaogopa kutaja jina la Rais kwa ubaya anahisi panya aliyepo darini ni shu shu shu aliye jigeuza panya !
hata akipata point 27 ni xawa tu na aliyekosa kabisaPolisi siku hizi kaka wanachukuliwa hadi form 4 leaver 2 ht km ana div 4 pnts 32 anaenda depo unategemea nn?
Na ukitoa taarifa baada ya muda unauliwa
Sasa hivi raia wa nje hapa Tanzania ni kwao kwa sababu hakuna ulinzi mfano ukienda Temeke Wasomali kibao wengi wao wanaingia kwa njia za panya, Buguruni Wasomali kibao nao ni hivyo hivyo. Ukipeleka taarifa polisi wao taarifa zao ni dili la pesa. Ndiyo maana nilimuuliza IGP hizo milioni 50 unazotaka kutoa kama zawadi kwa atakayetoa taarifa za uwepo wa magaidi itawezekana kweli???
Zamani walikuwa hawachukui IV, kama siku hizi wameacha kuchukua Standard 7 basi watakuwa wameendelea.Polisi siku hizi kaka wanachukuliwa hadi form 4 leaver 2 ht km ana div 4 pnts 32 anaenda depo unategemea nn?