TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
Mwanzo walisema waarabu wamekamatwa kwa taarifa za ambrose baadae wakasema wamekamatwa sababu walikua maeneo ya tukio na kama isingekua ubalozi wao kuwasaidia wangetolewa kafara bure maskini nawaskitikia FBI wao ni proffessional wameingizwa kweny mtego wa siasa hawatapata chochote!
Obama anakuja Tanzania....tafakari uwepo wa FBI nchini....!