Kuna kitu hujakijua waliokuwa wanatoa siri ndiyo hao wanao ongoza nchi kwa sasa, meko aliwazingua na wao wakamzingua.
Sasa kutoa siri za Serikali unakuwa unamkomoa Rais au vipi maana sielewi?Siyo kwamba hawana uwezo wa kuzipata taarifa bali hawana sababu ya kufanya hivyo kwa kuwa Rais Samia Suluhu Hassan bado hajaweka rekodi mbaya katika kipindi chake hiki kifupi cha uongozi....
Sasa walikuwa wanafaidika vipi na huko kutoa siri za Serikali?Samia hajadhibiti siri yeyote isitoke, siri za Magu zilivuja kwasababu hakutakiwa na walafi, ambao kimsingi ndio waliokua wamemzunguka.
Sasa kutoa siri za serikali unakuwa unamkoMoa rais au vp maana siel
Hiyo inaitwa passive resistance mkuu kwamba unahisi hutendewi haki na huna jinsi ya kutetea haki yako au kile unachokiamini bali ni kwa njia hiyo.Sasa kutoa siri za serikali unakuwa unamkoMoa rais au vp maana sielewi?
SIO KWELI,Habari JF,
Wote sisi ni mashahidi katika awamu iliyopita watu wengi waliibuka na kujizolea umaarufu pasipo kuwa na umashuhuri wowote zaidi ya kuvujisha siri za serikali katika mitandao ya kijamii.
Kuna watu walijizolea followers huko Twitter na Instagram kwa kuwa wakwanza kuhabarisha umma kwamba siku fulani rais atafanya nini, nani atatumbuliwa na kweli waliyokuwa wanayatabiri yalikuwa yanatimia kwa rais na viongozi kufanya vivyo hivyo kama taarifa zilivyokuwa zinatolewa na watu hao wanaojiita wanaharakati wa mitandaoni.
Sasa tangu Rais Samia Suluhu akalie kiti cha urais mambo yote sasa yamebadilika na imebaki kitu Inaitwa BREAKING NEWS tu ikiwa na maana yake halisi.
Wanavujisha siri za serkali wamebaki wapiga ramli kama waganga wa kienyeji, utasikia wanajisemesha maRC maDC MARAS mDAS mjiandae leo au kesho 😂😂😁😂
Eti PDF ni ndefu kidogo. Awamu iliyopita watu walikuwa wanapata mpaka hotuba aliyoandaliwa rais siku mbili kabla.
Yote hayo kwa sasa hawawezi kuyapata, Mheshimiwa Rais amedhibiti sekta hii wanaojiita wanaharakati wanaishia kutapatapa.
Kudos Rais Samia Suluhu.
Utusaidie kuwataja kwa majina yao mkuuSIO KWELI,
Waliokuwa wanavujisha ndugu zao wamepewa kazi kawa sasa na wao kuruhusiwa kuendelea na shughuli zao zilizokuwa ziko chini ya uchunguzi. Funguka macho na akili ili utambue watu hao ni akina nani?
Wewe pia utakuwa mpotoshaji, si ulisema chadema imekufa?Mabeyo anatakiwa kutolewa ili awekwe mwingine maana aliteuliwa na Magu.
Hiyo ni kwa mujibu wa vilema wa akili pale Ufipa.
Wewe pia utakuwa mpotoshaji, si ulisema chadema imekufa?
Taga bwana, kweli mwanaume unakubali kulipwa buku 7 ili ufanye mambo ya kimataga! Lazima kuwa na shida flani sehem flan.
Akili yako kumbe ndogo!Wewe pia utakuwa mpotoshaji, si ulisema chadema imekufa?
Taga bwana, kweli mwanaume unakubali kulipwa buku 7 ili ufanye mambo ya kimataga! Lazima kuwa na shida flani sehem flan.
Kama huwezi jua hili basi jipige kifua na kusema "Mimi ni Tagaaaaa"......how sure are you?
Kama huwezi jua hili basi jipige kifua na kusema "Mimi ni Tagaaaaa"......
Watu wakikuchukia huwezi kudhibiti siri, ukiwa bado mpendwa siri zinajidhibiti zenyewe.Habari JF,
Wote sisi ni mashahidi katika awamu iliyopita watu wengi waliibuka na kujizolea umaarufu pasipo kuwa na umashuhuri wowote zaidi ya kuvujisha siri za serikali katika mitandao ya kijamii.
Kuna watu walijizolea followers huko Twitter na Instagram kwa kuwa wakwanza kuhabarisha umma kwamba siku fulani rais atafanya nini, nani atatumbuliwa na kweli waliyokuwa wanayatabiri yalikuwa yanatimia kwa rais na viongozi kufanya vivyo hivyo kama taarifa zilivyokuwa zinatolewa na watu hao wanaojiita wanaharakati wa mitandaoni.
Sasa tangu Rais Samia Suluhu akalie kiti cha urais mambo yote sasa yamebadilika na imebaki kitu Inaitwa BREAKING NEWS tu ikiwa na maana yake halisi.
Wanavujisha siri za serkali wamebaki wapiga ramli kama waganga wa kienyeji, utasikia wanajisemesha maRC maDC MARAS mDAS mjiandae leo au kesho 😂😂😁😂
Eti PDF ni ndefu kidogo. Awamu iliyopita watu walikuwa wanapata mpaka hotuba aliyoandaliwa rais siku mbili kabla.
Yote hayo kwa sasa hawawezi kuyapata, Mheshimiwa Rais amedhibiti sekta hii wanaojiita wanaharakati wanaishia kutapatapa.
Kudos Rais Samia Suluhu.