Tanzania hatupo salama, Maadui wamepenya hadi Ikulu

Ndio kwanza dakika ya tano unasema umeshinda mechi.tulia kijana ofisi imebadilika ile, ngoja ma informer waanze kusukwa mtajiona mmekaa uchi.tulia muda utaongea.
 
Siyo kwamba hawana uwezo wa kuzipata taarifa bali hawana sababu ya kufanya hivyo kwa kuwa Rais Samia Suluhu Hassan bado hajaweka rekodi mbaya katika kipindi chake hiki kifupi cha uongozi.

Aidha inaonesha rais wetu anajaribu kurekebisha makosa yaliyofanywa na mtangulizi wake hivyo hao wanaharakati wana matumaini na kiongozi wa nchi kwa sasa. Kumbuka kadri unavokuwa husikilizi watu ndipo watu wanatafuta mbinu ya kukuvua nguo. Jifunze hapa.

''Tumia mbinu hiyo hiyo ya kuwafanya wasiropokee Bungeni, waropokee nje na huku nje tutadili nao vizuri kwa sababu wanapokuwa kule ndani wana kinga wanaweza wakatukana chochote, sasa kinga wanayoitumia vibaya bungeni kainyooshe wewe".

"Wawe wanatoka kule bungeni, ukishamfukuza hata mwezi mzima, atakuja aropokee huku, na mimi nakueleza, waache waropokee huku nitadili nao, wala siwatishi lakini hatuwezi kuwa kwenye vita wewe unaanza kugeuka kupiga wale wanaokwenda mbele, ni nafuu unyamaze ukalale.”

“Nawaambia wamiliki wa vyombo vya habari, “be careful,” (chukueni tahadhari), “watch it” (angalieni) kama mnafikiri mna freedom ya namna hiyo “not to that extent” (sio kwa kiwango hicho).”

Siku zote ukizuia uhuru kwa vyombo vya habari na watu kutoa maoni lazima utatengeneza NYEPENYEPE ambazo kwa kawaida zinaleak kuanzia kwa watu wa karibu ambao hawapendi mfumo huo.

Itoshe kusema kwamba kama mama na yeye ataongoza kwa mkono wa chumu (naomba isiwe hivyo) hata na yeye anaweza kukuta siri za serikali zinavuja.
 
Kigogo2014 yupo anapumulia mashine! Alikuwa anaringa sana eti mhabarishaji mkuu wa vyombo vya habari sasa hivi amebaki anajisemesha semesha ka taahira fulani!
 
Samia hajadhibiti siri yeyote isitoke, siri za Magu zilivuja kwasababu hakutakiwa na walafi, ambao kimsingi ndio waliokuwa wamemzunguka.
 
Siyo kwamba hawana uwezo wa kuzipata taarifa bali hawana sababu ya kufanya hivyo kwa kuwa Rais Samia Suluhu Hassan bado hajaweka rekodi mbaya katika kipindi chake hiki kifupi cha uongozi....
Sasa kutoa siri za Serikali unakuwa unamkomoa Rais au vipi maana sielewi?
 
Habari JF,

Wote sisi ni mashahidi katika awamu iliyopita watu wengi waliibuka na kujizolea umaarufu pasipo kuwa na umashuhuri wowote zaidi ya kuvujisha siri za serikali katika mitandao ya kijamii.

Kuna watu walijizolea followers huko Twitter na Instagram kwa kuwa wakwanza kuhabarisha umma kwamba siku fulani rais atafanya nini, nani atatumbuliwa na kweli waliyokuwa wanayatabiri yalikuwa yanatimia kwa rais na viongozi kufanya vivyo hivyo kama taarifa zilivyokuwa zinatolewa na watu hao wanaojiita wanaharakati wa mitandaoni.

Sasa tangu Rais Samia Suluhu akalie kiti cha urais mambo yote sasa yamebadilika na imebaki kitu Inaitwa BREAKING NEWS tu ikiwa na maana yake halisi.

Wanavujisha siri za serkali wamebaki wapiga ramli kama waganga wa kienyeji, utasikia wanajisemesha maRC maDC MARAS mDAS mjiandae leo au kesho 😂😂😁😂

Eti PDF ni ndefu kidogo. Awamu iliyopita watu walikuwa wanapata mpaka hotuba aliyoandaliwa rais siku mbili kabla.

Yote hayo kwa sasa hawawezi kuyapata, Mheshimiwa Rais amedhibiti sekta hii wanaojiita wanaharakati wanaishia kutapatapa.

Kudos Rais Samia Suluhu.
SIO KWELI,

Waliokuwa wanavujisha ndugu zao wamepewa kazi kawa sasa na wao kuruhusiwa kuendelea na shughuli zao zilizokuwa ziko chini ya uchunguzi. Funguka macho na akili ili utambue watu hao ni akina nani?
 
Mabeyo anatakiwa kutolewa ili awekwe mwingine maana aliteuliwa na Magu.

Hiyo ni kwa mujibu wa vilema wa akili pale Ufipa.
Wewe pia utakuwa mpotoshaji, si ulisema chadema imekufa?
Taga bwana, kweli mwanaume unakubali kulipwa buku 7 ili ufanye mambo ya kimataga! Lazima kuwa na shida flani sehem flan.
 
huenda hata neno mataga hulijui maana yake

anyway unazungumziaje issue ya udhibiti wa siri za serikli?
Wewe pia utakuwa mpotoshaji, si ulisema chadema imekufa?
Taga bwana, kweli mwanaume unakubali kulipwa buku 7 ili ufanye mambo ya kimataga! Lazima kuwa na shida flani sehem flan.
 
Wewe pia utakuwa mpotoshaji, si ulisema chadema imekufa?
Taga bwana, kweli mwanaume unakubali kulipwa buku 7 ili ufanye mambo ya kimataga! Lazima kuwa na shida flani sehem flan.
Akili yako kumbe ndogo!

Sasa mtu unasema nalipwa elf 7 huku huna uhakika
 
Habari JF,

Wote sisi ni mashahidi katika awamu iliyopita watu wengi waliibuka na kujizolea umaarufu pasipo kuwa na umashuhuri wowote zaidi ya kuvujisha siri za serikali katika mitandao ya kijamii.

Kuna watu walijizolea followers huko Twitter na Instagram kwa kuwa wakwanza kuhabarisha umma kwamba siku fulani rais atafanya nini, nani atatumbuliwa na kweli waliyokuwa wanayatabiri yalikuwa yanatimia kwa rais na viongozi kufanya vivyo hivyo kama taarifa zilivyokuwa zinatolewa na watu hao wanaojiita wanaharakati wa mitandaoni.

Sasa tangu Rais Samia Suluhu akalie kiti cha urais mambo yote sasa yamebadilika na imebaki kitu Inaitwa BREAKING NEWS tu ikiwa na maana yake halisi.

Wanavujisha siri za serkali wamebaki wapiga ramli kama waganga wa kienyeji, utasikia wanajisemesha maRC maDC MARAS mDAS mjiandae leo au kesho 😂😂😁😂

Eti PDF ni ndefu kidogo. Awamu iliyopita watu walikuwa wanapata mpaka hotuba aliyoandaliwa rais siku mbili kabla.

Yote hayo kwa sasa hawawezi kuyapata, Mheshimiwa Rais amedhibiti sekta hii wanaojiita wanaharakati wanaishia kutapatapa.

Kudos Rais Samia Suluhu.
Watu wakikuchukia huwezi kudhibiti siri, ukiwa bado mpendwa siri zinajidhibiti zenyewe.
 
Tangu Makonda awekwe benchi hatoi tena habari lakini wale walioko tweeter bado wanatoa ila watu wanafanya spining kuwa discredit
 
Back
Top Bottom