Hizo slogan ndo zinazotumaliza na kuondoa umoja katika yeti, bikini tutaungana kupinga mambo Haya? Viongozi wanapojaribu kututetea na sisi raia tujitokeze tuwaubge mkono, otherwise ccm kupitia ikuky wataendelea kutuntonya, kutukandamiza na kutuharibia nchi yetu
That's kweli kikwete keshatusoma watanzania na ameshajua kuwa sisi ni warahisi wakusahau mambo na kuona kawaida na ndio maana alisema ni upepo wa kisiasa na utapita tu. Mimi naona 2015 tukichukuwa nchi tuwashtaki mafsadi wote hata kama halitakuwepo katika katiba maana wanaweza wasilipitishe ili kujiwekea kinga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.