Riwa Platinum Member Oct 11, 2007 2,607 3,068 Jun 27, 2012 #1 Tanzania Daima la leo ukurasa wa 17 na 20 limetumia picha ya mtu mmoja kama waziri wa fedha Ugiriki na rais wa Misri...
Tanzania Daima la leo ukurasa wa 17 na 20 limetumia picha ya mtu mmoja kama waziri wa fedha Ugiriki na rais wa Misri...
A Africa_Spring JF-Expert Member Jun 16, 2012 426 111 Jun 27, 2012 #2 copy and past hiyo...ndo matatizo ya wabongo...its real ****...
M mageuzi1992 JF-Expert Member Apr 9, 2010 2,503 252 Jun 27, 2012 #3 Si tanzania daima tu ni magazeti mengi nimeona kosa kama hilo
Ndallo JF-Expert Member Oct 1, 2010 7,619 4,292 Jun 27, 2012 #7 Namkumbuka Bwana Ben Mkapa na ule usemi wake wa Waandishi Uchwara