naombeni mnisaidie nataka kujiunga na chuo hicho kozi ya flight operating officer je chuo kimesajiliwa na kama bado ni chuo gani kingine kinatoa kozi kama hiyo Tanzania
kimesajiliwa na NACTE, na kinatambuliwa na International Civil Aviation Organisation (ICAO) kwa maelezo zaidi nenda www.catc.ac.tz