Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,111
- 18,327
Tuseme ukweli wizara ya ujenzi imepwaya sana pamoja na tanroad.
Pia sidhani kama tuna engineers wenye uwezo wa kutoa solution za haraka na zenye mashiko maana kazi ya engineer sio kupiga chepe bali ni kutoa solution za kihandisi na kisayansi kutatua matatizo kwa muda muaafaka.
Kama anavyo sema waziri mkuu ni aibu ya nchi siku 3 hakuna suluhu ya magari kupita kati ya dodoma na morogoro.
Kwanini baada ya daraja kuvunjika kusitafutwe njia mchepuko magari yapite wakati mnaendelea kutengeneza daraja?
Daraja hilo halihitaji kutengenezwa kama la muda inabidi litengenezwe la kudumu penhine bora kuliko lililokuwepo.
Mmeng'ang'ania kufukia kifusi na mawe ambayo mvua ikinyesha tena vitaobdolewa au daraja kutitia.
Inaonekana tanroad na wizara ya ujenzi hawaja jipanga kwenye majanga kama haya au kwa vile kamanda wenu JPM kapata kazi nyingine.
Nakumbuka kuna mwaka alillala site hapo morogoro hadi daraja likakamilika kwa wakati huku magari yakiendelea kupita.
Mapendekezo
1. Kwa mkoa wa morogoro Tanroad wabadilishe calvert za kutoka pipe culvert na kuweka box culvert au bridge culvert kwa madaraja yote ya mkoa wa morogoro.
2. Regional engineers wasimamiwe vizuri maana wengi hawayembelei barabara. Unakuta barabara ina shimo kubwa na lipo hata kwa miezi 6 wakati fedha za ukarabati zimekaliwa na engineers.
3. Kiundwe kikosi cha emergence kwa ajili ya majanga kama haya.
Nimekuhurumia sana eng kamwele unafanya kazi na watu wazito kuchukua maamuzi na wasio na ubunifu kwenye kazi zao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia sidhani kama tuna engineers wenye uwezo wa kutoa solution za haraka na zenye mashiko maana kazi ya engineer sio kupiga chepe bali ni kutoa solution za kihandisi na kisayansi kutatua matatizo kwa muda muaafaka.
Kama anavyo sema waziri mkuu ni aibu ya nchi siku 3 hakuna suluhu ya magari kupita kati ya dodoma na morogoro.
Kwanini baada ya daraja kuvunjika kusitafutwe njia mchepuko magari yapite wakati mnaendelea kutengeneza daraja?
Daraja hilo halihitaji kutengenezwa kama la muda inabidi litengenezwe la kudumu penhine bora kuliko lililokuwepo.
Mmeng'ang'ania kufukia kifusi na mawe ambayo mvua ikinyesha tena vitaobdolewa au daraja kutitia.
Inaonekana tanroad na wizara ya ujenzi hawaja jipanga kwenye majanga kama haya au kwa vile kamanda wenu JPM kapata kazi nyingine.
Nakumbuka kuna mwaka alillala site hapo morogoro hadi daraja likakamilika kwa wakati huku magari yakiendelea kupita.
Mapendekezo
1. Kwa mkoa wa morogoro Tanroad wabadilishe calvert za kutoka pipe culvert na kuweka box culvert au bridge culvert kwa madaraja yote ya mkoa wa morogoro.
2. Regional engineers wasimamiwe vizuri maana wengi hawayembelei barabara. Unakuta barabara ina shimo kubwa na lipo hata kwa miezi 6 wakati fedha za ukarabati zimekaliwa na engineers.
3. Kiundwe kikosi cha emergence kwa ajili ya majanga kama haya.
Nimekuhurumia sana eng kamwele unafanya kazi na watu wazito kuchukua maamuzi na wasio na ubunifu kwenye kazi zao.
Sent using Jamii Forums mobile app