Tangazo la kuitwa kwenye usaili TRA

TRA Tanzania

Member
Jul 16, 2022
78
223
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inapenda kuwataarifu waombaji kazi waliofaulu mtihani wa mchujo na kuchaguliwa kwa ajili ya usahili wa vitendo na mahojiano unatarajiwa kufanyika kuanzia tarehe 29 Oktoba, 2023 hadi tarehe 2 Novemba,2023.
USAHILI.jpg
 

Attachments

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA - MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA (TRA).pdf
    9.4 MB · Views: 15
  • RATIBA YA USAILI WA MAHOJIANO NA VITENDO - TRA.pdf
    274.8 KB · Views: 10
Nina uhakika 100% kuwa usahishaji wa tax management officer haukua fair.
Generally paper yenyewe ilikua na makosa ya uchapishaji mengi tu mfano time allowed iliandikwa 70mins (ninty minutes)
Title ya paper yenyewe pia ilikosewa kuandikwa Ila.
a) Overall assemment kwenye procedures and examination conducts ilikua hovyo there were 90% chances mtu kumfanyia mwenzie mtihani especially kwa experience nilipofanyia mtihani Udom Auditorium Cive vyeti vilihakikiwa venue nyingine pamoja na ID Kisha watu waanza kumarch mmoja mmoja kwenda venue nyingine nahuko watu waliingia na hawakukaguliwa chochote si Identity card Wala simu.
b) Watu wa sehemu mbalimbali walifanya mtihani mmoja kwa mida tofauti hivyo uwezekano mkubwa Sana mtihani ulivuja.
Kwa upande wa mtihani haukua ngumu multiple choice zilikua based on residential status charitable organisations na vitu vingine elementary ambavya vingi nilikua familiar.
Explanation based questions zilikua rahisi mno. Mtihani weakness ni mtihani haukua na sehemu za kutosha za majibu ambayo ni extremely bias kwasababu watu wanatofautiana miandiko pia ilikua based on listing rather than explaining concepts ambayo majority ya watu naamini wameweza kulist. Specifically kwa case yangu all questions were easy na computation ya National Income, condition za kutumika presumptive tax, input vat claimability, reason za jeopardy assessment, reason za appeals of which najua majority wamezipata na ilikua kuandika maneno machache tu. I don't get the point of seeing such scores in this exams.
Lastly, Kuna watu wamefaulu lakini wameandikiwa irrelevant qualification how on earth did you give call them for written interview in first place na mnajua hamuwahitaji? It's great vivid internal control deficiency.
In my personal view, TRA bado bado hawana efficiency ya kuendesha interview compared to Utumishi.
 
Samahani ndugu muanzisha thread, mbona naona kwenye kifupi “TRA” tayari neno Tanzania lipo! Nashauri mfanye mabadiliko kidogo, nyinyi ni Taasisi kubwa kufanya makosa madogo madogo kama haya ni bora ibaki user name inayosomeka “TRA” au muongeze maneno yoyote sio kurudia Tanzania wakati herufi “T” tayari ipo na inamaanisha Tanzania.

Ina sound kama vile kuna TRA Kenya au TRA Uganda kumbe si kweli, TRA ipo Tanzania tu!
 
Samahani ndugu muanzisha thread, mbona naona kwenye kifupi “TRA” tayari neno Tanzania lipo! Nashauri mfanye mabadiliko kidogo, nyinyi ni Taasisi kubwa kufanya makosa madogo madogo kama haya ni bora ibaki user name inayosomeka “TRA” au muongeze maneno yoyote sio kurudia Tanzania wakati herufi “T” tayari ipo na inamaanisha Tanzania.

Ina sound kama vile kuna TRA Kenya au TRA Uganda kumbe si kweli, TRA ipo Tanzania tu!
Mkuu hapo kwenye utambuzi wa herufi nadhani hujafatilia vizuri, ila hata huko kenya wao wana tumia neno KRA, Uganda ni URA kama mamlaka zao za kodi hivyo hiyo ni sambamba na utifaq ya utaifa wetu kwenye utambuzi wa kimataifa kwamba na vyombo halali na vyenye mamlaka ya kukusanya kodi za mataifa hayo kisheria ni hizo na zitambulike kwa uratibu huo kuonyesha uhalisia wa Taifa husika lakini pia kuondoa hujuma na upotoshaji kwa watu wengine juu ya uhalali wa vyombo hivyo kwa mtu yeyote, kwamba hizo herufi zita onyesha uhalisia wa kweli kwenye taifa juu watu kujua wapi kodi zina lipwa na kwa utaratibu upi pamoja na mamlaka yapi kisheria.
 
Mkuu hapo kwenye utambuzi wa herufi nadhani hujafatilia vizuri, ila hata huko kenya wao wana tumia neno KRA, Uganda ni URA kama mamlaka zao za kodi hivyo hiyo ni sambamba na utifaq ya utaifa wetu kwenye utambuzi wa kimataifa kwamba na vyombo halali na vyenye mamlaka ya kukusanya kodi za mataifa hayo kisheria ni hizo na zitambulike kwa uratibu huo kuonyesha uhalisia wa Taifa husika lakini pia kuondoa hujuma na upotoshaji kwa watu wengine juu ya uhalali wa vyombo hivyo kwa mtu yeyote, kwamba hizo herufi zita onyesha uhalisia wa kweli kwenye taifa juu watu kujua wapi kodi zina lipwa na kwa utaratibu upi pamoja na mamlaka yapi kisheria.

Mkuu, nimekuelewa na ukipata nafasi nashauri uyapitie tena maelezo yangu utanielewa zaidi. Kirefu cha TRA ni Tanzania Revenue Authority. Pata picha mtu aandike Tanzania Revenue Authority Tanzania, huoni kuna makosa japo ni madogo sana?
 
Mkuu, nimekuelewa na ukipata nafasi nashauri uyapitie tena maelezo yangu utanielewa zaidi. Kirefu cha TRA ni Tanzania Revenue Authority. Pata picha mtu aandike Tanzania Revenue Authority Tanzania, huoni kuna makosa japo ni madogo sana?
siyo kila mtu anafahamu kuwa TRA ni Tanzania Revenue Authority ndiyo maana kiundishi aliyeandika kaweka Tanzania Revenue Authority ndani ya mabano (TRA) ili msomaji ajue maana ya TRA ni nini ? Inawezekana kuna watu nao wanajiita tra lakini wakawa na maana tofauti na hawa wa kodi hivo mwandishi yupo sawa kabisa kuondoa hiyo sitofahamu.
 
Back
Top Bottom