Tangazo la Kazi wizara ya fedha

camila

New Member
Jul 30, 2007
3
0
Habari za asubuhi wana JF i have come accross these vacancies from MOF deadline ni tarehe 31 december 2009 nadhani mwaka unaisha vizuri.

Please share widely
 

Attachments

  • TANGAZO LA KAZI-wizara ya fedha.pdf
    93.2 KB · Views: 1,629
camila Junior Member
Join Date: Mon Jul 2007
Posts: 1
Thanks: 0
Thanked 1 Time in 1 Post


VP ZA MIAKA, ULIPOTELEA WAPI??
ASANTE KWA KUTULETEA KAZI!.
KARIBU SANA MKUU JAMVINI!!.
 
Joji poji usingalie makunyanzi wengine tunakaa vijiji mtandao tabu kweli kweli, nafasi km hizi zina post zinakuja mara chache chache km hivi. Asante kwa kazi kubwa ya ujenzi wa taifa mkuu
 
joji poji usingalie makunyanzi wengine tunakaa vijiji mtandao tabu kweli kweli, nafasi km hizi zina post zinakuja mara chache chache km hivi. Asante kwa kazi kubwa ya ujenzi wa taifa mkuu
pamoja pamoja mkuu nimekupata!!.
Karibu mjini!.
 
Nashukuru kwa taarifa hii ya nafasi za kazi nafuatilia leo nijaribu bahati yangu.
 
habari za asubuhi wana jf i have come accross these vacancies from mof deadline ni tarehe 31 december 2009 nadhani mwaka unaisha vizuri.

Please share widely


thanks mdau, ila kuna hii post na. 15 haileweki wanataka "engineer" katika FANI ipi, is it civil, mechanical, electrical OR...........???
 
Thanks a lot dear,
itatusaidia wengine tulio kwenye harakati za kutafuta ajira
 
Ahsante sana kwa kutupa taarifa hizi, itatusaidia sisi ambao tupo katika soko la ajira
 
Joji poji usingalie makunyanzi wengine tunakaa vijiji mtandao tabu kweli kweli, nafasi km hizi zina post zinakuja mara chache chache km hivi. Asante kwa kazi kubwa ya ujenzi wa taifa mkuu
unakaa kijiji gani?
 
Back
Top Bottom