pamoja pamoja mkuu nimekupata!!.joji poji usingalie makunyanzi wengine tunakaa vijiji mtandao tabu kweli kweli, nafasi km hizi zina post zinakuja mara chache chache km hivi. Asante kwa kazi kubwa ya ujenzi wa taifa mkuu
habari za asubuhi wana jf i have come accross these vacancies from mof deadline ni tarehe 31 december 2009 nadhani mwaka unaisha vizuri.
Please share widely
unakaa kijiji gani?Joji poji usingalie makunyanzi wengine tunakaa vijiji mtandao tabu kweli kweli, nafasi km hizi zina post zinakuja mara chache chache km hivi. Asante kwa kazi kubwa ya ujenzi wa taifa mkuu
thanks mdau, ila kuna hii post na. 15 haileweki wanataka "engineer" katika FANI ipi, is it civil, mechanical, electrical OR...........???