Tangazo la ajira jeshi la polisi

Naona kama ubaguz hv!yaan wale wa form four hawana elim?au hawa wanaenda kusoma uafsa?kwel nakubal ya wahenga"hatamu ikishikwa pund lazima/shartiaende"bas form4 iondolewe kwenye hat za ajira,maana that is unthinking ability.

haha..no wonder u r just a member mr. Steang, kuna ajira za form IV, form VI na graduates wa level tofauti jeshini...jus for your information!!! matangazo hayo kwa mwaka huu yalienda shuleni wakajaza formu huko huko shuleni...
 
Last edited by a moderator:
kazi za lawama hizi

ni bora kujiajiri,kuliko baada ya kufa ukiwa polisi kila mtu kidole kwako

maana ukiwa polisi ni lazima upige mtu risasi wakati wa maandamano,yaani unakuwa mungu wa duniani kuuwa watu
 
i hate this kind of thinking!

anyway, wahenga walisema:
"Be the change you want to see around u"... badala ya kuponda why not join in the fight against the practices so that one day we can have a fair and helpful police force?

Mambo mengine, get to know why they do the things they do b4 u ropoka...believe me, i dont like how the police are working na mimi baadhi ya hayo mambo yameshanikuta ila siyo sababu ya kuwatukana polisi wote maana najua kuna those who are fighting against the status quo..bt ts a long fight!!
ni kama ukisema watu wasigombee ubunge since ubunge ni uccm..ni wizi, ni hujuma ni ufisadi...what will u say of the fighters like Zitto et al? do u want to tell me there are no people like them in the police force?

oh oh...ama u have worn the clothes of uchama in the sense that anything wrong hapenning gets thrown to ccm's faults? what hav u as a citizen done? mshikachuma


Kwel kabsa nimekubal kuwa wewe ni Great thinker
kiukwel hata ukisema hata polisi anatakiwa kuwa mwanaharakat kama Zito ni ngumu sana kutokana kuwa na heshima na uoga kwa wakubwa wao?
Kwa upande wangu nachukia kutoka moyon hii sio kutokana na ushabik
kwanza kaz ya lawama pia nadhani wanshindwa kukabiliana na vurugu mpaka wanatumia risasi za moto mim na
wewe na wengine ni mashaid kila siku tunaangalia aljaazira na chanel zingine za kimataifa tunaona maandamano tena vurugu kubwa mno mpaka inafikia raia
wanarusha miripuko,mawe,chupa nk. Lkin husikii kulikuwa na risasi za moto hii inakuwaje? Au sisi ndo tunawashinda wao kwa vurugu?
La tatu siku moja nilikuwa kituo cha daladala watu ni weng mno daladal ilipokuja nikaingilia dirishan nikaona kio kioo kinafunguliwa nikatolewa dirashan na heshima yangu niliyokuwa nayo kwa kabari nzito nilivyotolewa nikawa nimekabwa ni usiku hiyo wakawa wananiuliza maswal huku nimekabwa na nimetoa macho vibaya mno na nakoroma nimeshindwa kujb nikala kofi la uso ambalo sjawapgwa ktk maisha yang mpaka leo
hiyo ikawa haitosh nilikamatwa gorol zang za chin kwasababu nilikuwa kimya polic mwingne aliniangalia akasema ondoka roho ilinima sana japo kosa nilifanya lkn skustahl adhab ile!!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom