fantastic philip
Senior Member
- Oct 17, 2015
- 194
- 681
TANGAZO KWA WADAU NA WAPENZI WA MCHEZO WA DRAFTI
Kuanzia kesho tarehe 30 mpaka tarehe 31 ya mwezi huu tunatarajia kushuhudia pambano litakalowahusisha mabingwa 16 wa mchezo wa drafi, pambano hili litafanyika katika ukumbi wa java kitunda kuanzia majira ya saa 8 mchana mpaka saa tano usiku.
ZAWADI,
Mshindi wa kwanza shiringi laki mbili (200000)
Mshindi wa pili shiringi laki moja 100000
Mshindi wa tatu shiringi elfu hamsini (50000)
Washiriki wetu wa pambano hilo ni hawa wafuatao
1 NDULI,
2 RONALDO
3 HEMEDI GAIDI
4 OMARY KIWEMBE
5 ISSA MAMBA
6 YASINI EAGLE
7 FUNDI SAIYA
8 SAIDI KINYEMI
9 MASTER MJAPE
10 MZEE NGAPU
11 DOGO SISCO
12 DOGO JANJA
13 DOGO SHUKURU
14 DOGO ATHUMANI
15 DOGO ALLY
16 DOGO HAMISI
Mzamini, DANY DENYO
Mratibu, MANGWELELE
Washiriki wote wataghalamikiwa nauli na chakula kutoka kwa mzamini wetu aliyeandaa pambano
Pichani ni moja ya mapambano yaliyowai kufanyika katika moja ya vijiwe vya drafti.
ASANTENI SANA.
Kuanzia kesho tarehe 30 mpaka tarehe 31 ya mwezi huu tunatarajia kushuhudia pambano litakalowahusisha mabingwa 16 wa mchezo wa drafi, pambano hili litafanyika katika ukumbi wa java kitunda kuanzia majira ya saa 8 mchana mpaka saa tano usiku.
ZAWADI,
Mshindi wa kwanza shiringi laki mbili (200000)
Mshindi wa pili shiringi laki moja 100000
Mshindi wa tatu shiringi elfu hamsini (50000)
Washiriki wetu wa pambano hilo ni hawa wafuatao
1 NDULI,
2 RONALDO
3 HEMEDI GAIDI
4 OMARY KIWEMBE
5 ISSA MAMBA
6 YASINI EAGLE
7 FUNDI SAIYA
8 SAIDI KINYEMI
9 MASTER MJAPE
10 MZEE NGAPU
11 DOGO SISCO
12 DOGO JANJA
13 DOGO SHUKURU
14 DOGO ATHUMANI
15 DOGO ALLY
16 DOGO HAMISI
Mzamini, DANY DENYO
Mratibu, MANGWELELE
Washiriki wote wataghalamikiwa nauli na chakula kutoka kwa mzamini wetu aliyeandaa pambano
Pichani ni moja ya mapambano yaliyowai kufanyika katika moja ya vijiwe vya drafti.
ASANTENI SANA.